Nimeamua nibadilishe type za wanaume

Nimeamua nibadilishe type za wanaume

Nimeamua nibadilishe type za wanaume 😂
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba 😂😂😂😂
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradi😂😂😂😂
The list goes on 😂😂😂😂😂😅
Usipati tabo nipo Tuangomi na kisubiro
 

Attachments

  • IMG_20240506_023004.jpg
    IMG_20240506_023004.jpg
    46.5 KB · Views: 3
Tafuta wanaovaa mashati makubwa makubwa, kk amwe usiolewe na mwanamume aneyejichubua,kupiga marashi,au kuvaa nguo za kubana na viduku,ili mradi asiwe mskumuma
 
Nimeamua nibadilishe type za wanaume [emoji23]
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
The list goes on [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]
Bado haujasema!!!!

Eti awe amesoma kwa shida!!
Nlidhan nmeona vyote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hata ukimpata malaika bado..utaachwa tu!!
 
Wanaume wote Sisi ni Mbwa Baba yetu ni Mmoja ni Suala la Muda tu. Balaa ni pale mshamba akiwa mjanja ndo utajiona ww ndo mshamba Pro
 
Weeeh sina uduguu!! Si unajua hapa kati nilikuwa busy na husiano lilotaka kunitoa roho [emoji23][emoji23][emoji23]
Nipe bana ubuyu huo nakuja bobo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] husiano chaliii ama niajee?
 
Nimeamua nibadilishe type za wanaume 😂
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba 😂😂😂😂
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradi😂😂😂😂
The list goes on 😂😂😂😂😂😅
Hivi mshamba ni mtu wa namna gani?
 
Nimeamua nibadilishe type za wanaume 😂
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba 😂😂😂😂
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradi😂😂😂😂
The list goes on 😂😂😂😂😂😅
africa_2007_rwh_0483.jpg

Huyo hapo ni Mimi najua nimekidhi vigezo nasibir pm Yako tu
 
Kama umeshampata sawa ila kama Bado hata Kwa tochi humpati

Ninahakika mwanamke hawezi ishi na mwanaume anayemcha Mungu kisawasawa
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom