Nimeamua nibadilishe type za wanaume

Nimeamua nibadilishe type za wanaume

Nimeamua nibadilishe type za wanaume ๐Ÿ˜‚
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
The list goes on ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…
Huyu ni Mbaga Jr mtupu isipokuwa hapo kwenye kusoma kwa tabu
 
tr

Trust tafuta mtu ambaye mnavibe naye...nilijaribu kubadilisha type nikahamia kwa mama wachungaji aisee hakuna mahusiano yanaboa kama hamuendani kila kitu kwake dhambi..Basi imefika weekend hata tukanywe juice hataki....Tafuta mtu una vibe zinazolingana other wise utawapotezea watu muda wao
Pole kwa yaliyokukuta
Ila everyone Ana preference zake
 
Ushamba mzigo @ dada.

Wengine hata asome hadi Chuo kikuu haachi tabia ya uchafu ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ
Unajiuliza asingesoma ingekuwaje?

Uchafu wa mwili hadi mazingira.
Kijiko kuweka chini ya sink ya kuoshea vyombo direct contact hao ni shida,
Kopo la bafuni kuchotea Maji jikoni haoni shida,
Kula akatupa ndani ataona Sawa.
Ivo nitamfundisha
Na kwakuwa Ana akili na hofu ya Mungu atabadilika
 
Nimeamua nibadilishe type za wanaume ๐Ÿ˜‚
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
The list goes on ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…


yaani kama umezaliwa mjini utakuta yale mengi ambayo ulofundishwa kuwa hayafai na wazazi wako yeye ndio anayafanya.
Matharani; Kuacha mswaki kwenye sink bafuni (direct contact), kufunga mlango wa Friji , gari kwa kubamiza kwa nguvu puuuuh , kunywa chai kwa kupuliza n.k
Nimeamua nibadilishe type za wanaume ๐Ÿ˜‚
Sasa hivi my preference is
1. Awe mwanaume mshamba, wazazi wake wapo kijijini
2. Amesoma kwa shida sana
3. Kapitia changamoto za maisha nyingi
4. Awe na akili nyingi Yani zile za kuzaliwa akili za kupambana na maisha
5. Awe na hofu ya Mungu na awe anafanya ibada frequently
6. Starehe za duniani sio priority yake , yeye anawaza ku invest
7. Ambaye ametoka kwenye familia ya baba moja na mama moja , hawa Ndio huwa wanajua umuhimu wa ndoa
8. Na awe na dada zake wa kuzaliwa nao, Hii humfanya aone thamani ya wanawake na kuto kuwa treat hovyo
9. Awe anatumia smartphone ya kishamba ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
10. Na hajui fashion anajivalia tu bora mradi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
The list goes on ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Binadamu wengine uwalone kwa nje tu lakini kuishi nae yataka moyo.
Ila ya uchafu .
Kufunga Magari , Friji kwa nguvu puuuh.
Kuacha mswaki bafuni kwenye sink,
Kula na kuacha kila kitu hapohapo n.k
Utakuta yake ambayo ulifundishwa kuwa hayafai yeye ndio anayafanya ๐Ÿ˜€
Mfano kunywa chai kwa kupulizia.
 
yaani kama umezaliwa mjini utakuta yale mengi ambayo ulofundishwa kuwa hayafai na wazazi wako yeye ndio anayafanya.
Matharani; Kuacha mswaki kwenye sink bafuni (direct contact), kufunga mlango wa Friji , gari kwa kubamiza kwa nguvu puuuuh , kunywa chai kwa kupuliza n.k


Binadamu wengine uwalone kwa nje tu lakini kuishi nae yataka moyo.
Ila ya uchafu .
Kufunga Magari , Friji kwa nguvu puuuh.
Kuacha mswaki bafuni kwenye sink,
Kula na kuacha kila kitu hapohapo n.k
Utakuta yake ambayo ulifundishwa kuwa hayafai yeye ndio anayafanya ๐Ÿ˜€
Mfano kunywa chai kwa kupulizia.
Ndio binadamu kila mtu Ana mapungufu ni kuvumiliana ata yy anaweza kunikuta na mapungufu anbayo na yy akiyavumilia tunaishi
 
Wanaume wapole, washamba, wapambanaji na wawekezaji wa Dunia na mbinguni tunaonewa sana.
Sisi tunakuwa chaguo la mwisho baada ya maslay queen kutumika na masharobalo wakatendwa ndio wanaona umuhimu wetu. Na sisi tunataka mademu kutoka vijijini huko nipate mshamba mwenzangu.
 
MKIMALIZA KUCHANGIA MTANIAMBIA NIMUULIZE DADA KWENYE PRIME TIME YAKE YA 20,S..............ALIKUA NA AKINA NANI......MPAKA SASA HIVI KILOMETA ZIMEENDA ANATAKA KUVURUGA VIJANA ALIOWAKATAA ALIPOKUA KWENYE PRIME YAKE YA 20,S???
 
Wanaume wapole, washamba, wapambanaji na wawekezaji wa Dunia na mbinguni tunaonewa sana.
Sisi tunakuwa chaguo la mwisho baada ya maslay queenkitumika na masharobalo wakatendwa ndio wanaona umuhimu wetu. Na sisi tunataka mademu kutoka vijijini huko nipate mshamba mwenzangu.
Hii ndio pointi........na wew kaoe mtoto mbichi.......achana na used item,s.
Alikua wapi kukuchagua alipokua in her prime year,s 20,s....!!!
 
Hii ndio pointi........na wew kaoe mtoto mbichi.......achana na used item,s.
Alikua wapi kukuchagua alipokua in her prime year,s 20,s....!!!
Kabisa wakiwa kwenye ubora wao ukamfata na nguo zako za mipauko pamoja na swaga za kikanisani ikiambatana na lafudhi ya kinyumbani anakuona kolo.
Sasa wamepigwa na kitu kizito Kwa masharobalo wanarudi kwetu na kilometer zao zimeshasoma hatutakii.
 
MKIMALIZA KUCHANGIA MTANIAMBIA NIMUULIZE DADA KWENYE PRIME TIME YAKE YA 20,S..............ALIKUA NA AKINA NANI......MPAKA SASA HIVI KILOMETA ZIMEENDA ANATAKA KUVURUGA VIJANA ALIOWAKATAA ALIPOKUA KWENYE PRIME YAKE YA 20,S???
"K" imeishachakwa mpaka basi na wahuni kiasi kwamba kuta za "k" zimeishaishiwa elasticity limebaki tundu tu la kukojolea alafu anatafuta mme? This is not fair!
 
Back
Top Bottom