Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wewe Half american ndo umeharibu kabisa..!!wengine watasema mbona kama mwandiko ni wakike 😂
Ulichoongea kinaweza kuwa na ukweli kidogo kiasi chake, ila bahati mbaya haujui kuwa huwa inachukua muda gani kurudi katika hali yake ya kawaida.Kyuma ni elastic km mpira hivyo hurudi kwenye size yake ndio maana hata mama akijifungua huwa haibaki wazi km saizi ya kichwa cha mtoto. Acha chai na upuuzi wako kawaeleze watoto wenzio
Wasiwasi Mwabulambo!Brother hata wewe una wasi wasi na kilichoandikwa!
Kuna watu majibu yao au post zao haziangalii yupo jukwaa gani..!! Utakuta jukwaa la kuchepuka, anaweka mambo ya kuchimba dhahabu au dini..!!Sijui kama uliemuuliza ana ujanja wa kujibu swali lako.
Nina imani hawezi kurudi kukujibu 😂
😂😂😂Yaani wewe Half american ndo umeharibu kabisa..!!
View attachment 2618340
Eti chai nyingine kama uji..!! Dah, jamani..!! nimecheka kama mwehu..!! Nimewaza ingredients za chai na uji nikaona zinafanana kwenye moto, sukari na maji tu..!! Content kubwa za kila moja ni tofauti, jamani majani ya chai na unga..!! We bro, umejua kuuwa..!!
Halafu kuna huyu mwamba mshamba_hachekwi kaamua kabisa kucheka..!!
Umesoma elasticity? Ikivuka plastic limit, it can not go back to its original shape and size..!!Kyuma ni elastic km mpira hivyo hurudi kwenye size yake ndio maana hata mama akijifungua huwa haibaki wazi km saizi ya kichwa cha mtoto. Acha chai na upuuzi wako kawaeleze watoto wenzio
Wengi ni wageni humu, ndomaana ni vigumu kwao kutofautisha jukwaa la siasa, mapenzi, hoja mchanganyiko nk.Kuna watu wajibu yao au post zao haziangalii yupo jukwaa gani..!! Utakuta jukwaa la kuchepuka, anaweka mambo ya kuchimba dhahabu au dini..!!
Hii story imewahi kuletwa humu