Nimeamua nihame Mji baada ya mke wa mtu kuniletea Msala

Nimeamua nihame Mji baada ya mke wa mtu kuniletea Msala

wengine watasema mbona kama mwandiko ni wakike 😂
Yaani wewe Half american ndo umeharibu kabisa..!!

1683836060653.png

Eti chai nyingine kama uji..!! Dah, jamani..!! nimecheka kama mwehu..!! Nimewaza ingredients za chai na uji nikaona zinafanana kwenye moto, sukari na maji tu..!! Content kubwa za kila moja ni tofauti, jamani majani ya chai na unga..!! We bro, umejua kuuwa..!!

Halafu kuna huyu mwamba mshamba_hachekwi kaamua kabisa kucheka..!!
 
Kyuma ni elastic km mpira hivyo hurudi kwenye size yake ndio maana hata mama akijifungua huwa haibaki wazi km saizi ya kichwa cha mtoto. Acha chai na upuuzi wako kawaeleze watoto wenzio
Ulichoongea kinaweza kuwa na ukweli kidogo kiasi chake, ila bahati mbaya haujui kuwa huwa inachukua muda gani kurudi katika hali yake ya kawaida.

Wewe unafikiri mama akishazaa siku hiyo hiyo inarudi kujifunga?
 
Hii ni chai tu .
1: hamna mwanaume aliyebarikiwa na mguu wa tatu mrefu hujitangaza in anyway ,utawajua wenzao nduru zikipigwa TU.

2 K ni elastic sana ,utampa Raha ila inajirudia yenyewe tu.

3: ukizingatia mbususu sana umaskini wa kutupwa unakuhusu

Kwa mwendo huu mbona Hela nchini isiibiwe kama sovereigns ndo nyie
 
Huyo mwenzako kama wewe mnaokula wake za watu unamuita Bwege je na wewe tukuite nani ??--- mfuga nyoka au mfuga nyok•??!🤣
Mimi hata ukiniita mtoboaji ni sawa tu boss wangu.
 
Sijui kama uliemuuliza ana ujanja wa kujibu swali lako.
Nina imani hawezi kurudi kukujibu 😂
Kuna watu majibu yao au post zao haziangalii yupo jukwaa gani..!! Utakuta jukwaa la kuchepuka, anaweka mambo ya kuchimba dhahabu au dini..!!
 
Yaani wewe Half american ndo umeharibu kabisa..!!

View attachment 2618340
Eti chai nyingine kama uji..!! Dah, jamani..!! nimecheka kama mwehu..!! Nimewaza ingredients za chai na uji nikaona zinafanana kwenye moto, sukari na maji tu..!! Content kubwa za kila moja ni tofauti, jamani majani ya chai na unga..!! We bro, umejua kuuwa..!!

Halafu kuna huyu mwamba mshamba_hachekwi kaamua kabisa kucheka..!!
😂😂😂
 
Kyuma ni elastic km mpira hivyo hurudi kwenye size yake ndio maana hata mama akijifungua huwa haibaki wazi km saizi ya kichwa cha mtoto. Acha chai na upuuzi wako kawaeleze watoto wenzio
Umesoma elasticity? Ikivuka plastic limit, it can not go back to its original shape and size..!!
 
Kuna watu wajibu yao au post zao haziangalii yupo jukwaa gani..!! Utakuta jukwaa la kuchepuka, anaweka mambo ya kuchimba dhahabu au dini..!!
Wengi ni wageni humu, ndomaana ni vigumu kwao kutofautisha jukwaa la siasa, mapenzi, hoja mchanganyiko nk.
 
Umesoma elasticity? Ikivuka plastic limit, it can not go back to its original shape and size..!!
Bora wewe una upeo, utanisaidia sana kuwaelimisha hawa wasiokuwa na elimu ya kile wanachoandika.
 
Ww kweli bwege siuhame mtaa.
Yani unakula mke wa mtu harafu akili unazo fupi🤨🤨
 
Back
Top Bottom