National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Sikuachi hadi unipeeeAhahah niache
Ndio nalitaka😃😃😃 nitakuwekea limbwata wewe haya
Nimeamua nimpike leo shemeji yenu leo ili ale ashibe ndipo nimwambie sasa kuhusu Pamela, achague mmoja mimi au pamela!
View attachment 2601437View attachment 2601438
Nimemuwekea na ka mzizi kidogo!
Usije ukampa ndugu yetu Mmarekani hizo mboga zenye limbwata. Mawifi tunapiga kuua, shauri zakoShemeji yenu anapenda tembele nikasema nisiwe mchoyo nikaenda kuchuma tembele kwa jirani nimkaangie nimechuka ka limwabata niliko agiza kutoka mtwara uko newala nikaweka kidogo sana ili asinigande sana maana ikiwa nyingi **** stage itafika kie nataka kumuacha yeye dawa ndio zimekolea ataki kuniacha tukaganda mpaka Half american atakaa kunioa
Huyu ndio wifi yetu kumbeJamani Half american
Umepikiwa utumbo huku
🤣 mimi silagi aina hiyo ya vyakulaJamani Half american
Umepikiwa utumbo huku
🤧Huyu ndio wifi yetu kumbe
🤔🙄Shemeji yenu anapenda tembele nikasema nisiwe mchoyo nikaenda kuchuma tembele kwa jirani nimkaangie nimechuka ka limwabata niliko agiza kutoka mtwara uko newala nikaweka kidogo sana ili asinigande sana maana ikiwa nyingi **** stage itafika kie nataka kumuacha yeye dawa ndio zimekolea ataki kuniacha tukaganda mpaka Half american atakaa kunioa
Sema neno kijana
Na roho yangu itapona, baba yetu.....Sema neno kijana
Ata sina kauli 🙄🤧Ahahaha unataka kusemaje?