Mkiwa hamumjui mtu mtuliege basi hata kidogo πdume hilo mzee, nenda kwa makini. Hakuna mwanamke hapo.
Tutampoteza ndugu yetu jaman, sa itakuaje πNdugu unataka kutupiwa majini π€£
PamelaaaaaaaaNdugu unataka kutupiwa majini π€£
Oyaa weee mbona Noma hio Yani afu ukute mganga ni mmoja.Alaf unakuta katoka kwa pamela, na pamela kamuwekea ka mzizi[emoji38]
Limbwata imeanza kufanya kaziPamelaaaaaaaa
Navyoliogopa limbwata ni heri nikomae na pamelaKama chakula cha usiku kimewekwa limbwata na anatangaza. Basi kumtupia kijini ndugu yetu hatoshindwa
Weee unatupa wasiwasi figo76
Sili huo msosiLimbwata imeanza kufanya kazi
Hata usiku wa mlo haujaingia
kuna codes za kuandika ikiwa mwanaume kamili lazima uzielewe kuwa zimeandikwa na mkuu mwenzetu.Mkiwa hamumjui mtu mtuliege basi hata kidogo π
Oyaa weee mbona Noma hio Yani afu ukute mganga ni mmoja.
Acha tusubiri shuhuda Kwanza ngoja mizizi ikakutane mwilini mtoto WA watu achanganyikiweMule mule[emoji1787][emoji1787]
Halafu kamzizi kapamela kananguvu kushinda KakeAlaf unakuta katoka kwa pamela, pamela kamuwekea ka mzizi[emoji38]
Halafu kamzizi kapamela kananguvu kushinda Kako