Nimeamua nimpikie shemeji yenu leo

Mkiwa hamumjui mtu mtuliege basi hata kidogo πŸ˜‚
kuna codes za kuandika ikiwa mwanaume kamili lazima uzielewe kuwa zimeandikwa na mkuu mwenzetu.

Nakuhakikishia hakuna mwanamke hapo. Rejea nyuzi zake zote utaona kuwa huyu ni msela alie katika process za kulaghai walimwengu huku akileft kundini taratibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…