Nimeamua nithubutu ingawa nina mtaji pungufu ya laki saba. Nawe waweza jaribu mahali unapoishi

Nimeipenda mkuu! Udhubutu umekusaidia!!
Watu wengi tunamawazo tu akilini lakini kudhubutu ni changamoto!!!
keep it up!
 
Thumb up! Sasa huo ndio USOMI! Sio kukariri "vitini" na kutandaza A kibao, Mkuu pambana. Mi nasaha zangu kwako, kaa mbali na zile timu 2 zinazobishana humu kama wanavosutana wale mashabiki wa wabana pua wawili, kaa mbali na "watoto" na pia kaa mbali na wana-hip hop!
 
Hongera sana, huko ndiko tunakoita ni KUJIONGEZA!
 
Mkuu nikisoma hi I inanipa shauku ya kufany hili jambo langu la kujiajiri wKat nipo chuo thank you so much for inspiration [emoji119]
 
Nimeipenda mkuu! Udhubutu umekusaidia!!
Watu wengi tunamawazo tu akilini lakini kudhubutu ni changamoto!!!
keep it up!
Impressive keep it up
Hongera kwa kuthubutu mdau
Yaani umenigusa sana ndugu. Hongera sana
Nimechukua no yako mkuu, nitakutafuta
Hongera sana, huko ndiko tunakoita ni KUJIONGEZA!
Mkuu nikisoma hi I inanipa shauku ya kufany hili jambo langu la kujiajiri wKat nipo chuo thank you so much for inspiration [emoji119]
Asanteni wakuu ngoja niendelee kupumbana.
 
Kuna MTU ana kg mia tano nikuunganishe naye? Kama mzigo umeisha?
 
Napata hofu kama kweli wewr ni mwana chuo maana haujaweza kutofautisha L na R
Sijaona kama ni tatizo kiasi hicho. Haya ni matatizo yatokanayo na matamshi ya lugha mama.waweza hata kuwa na degree saba lakini zoezi dogo la kutofautisha herufi hizo mbili laweza endelea.kwa mawazo yangu nadhani tujadili wazo la kibiashara alilonalo mjumbe hapa.
 
Watu wote waliodhubutu ndio matajiri wakubwa duniani; tafuta habari za coca cola ilivoanzishwa; hata Mungu anapenda watu wajasiri soma habari za Joshua katika biblia! Big up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…