kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,921
- 7,173
Luhanyula Bigup sana mkuu, wewe ni role mode wa vijana wengi hasa wanachuo, hope unaweza kubalance muda wako vizuri na masomo. mtu anaweza kukopi idea yako ila hawezi kukopi spirit uliyonayo, endelea na hiyo bidii katika kazi, na hongera sana kwa kutokua mchoyo wa mawazo, umekua ukishare kila changamoto unazokutana nazo, huna kinyongo na mtu, uko real katika maisha. Believe me siku moja utakua mfanyabiashara mkubwa sana na haya maisha unayoyaishi leo yatabaki historia na funzo kwa vijana wengi. Ningekuwa naishi Dar hakika ningekua mteja wako ili kukuunga mkono.