Nimeamua rasmi nianze ku Date mishangazi TU na ikiwezekana nioe kabisa mmoja

Mimi mishangazi kitambo yani itanitoa roho toka 2015 nadate mishangazi tu ...halafu huwa waelewa kuna limoja nimewekeza kabisa mana linafinyia kwa ndani
 
Wewe tena
 
Swadakta bibieee
 
Kuna mmoja nilimfanyia /namfanyia hivi dah, alilia sana/hua analia sana kuna siku alitetemeka sana nikajua nimeua naenda kuozea segerea, bahat nzur alizima tu nikamwagia maji,
alisema nikimuacha ananiua niliogopa sana
Anyway ndio niko nae hadi saivi..
 
Usimwache mkuu as long hakupigi vizinga tulizana enjoy maisha
 
Kuna kampen flan hiv ipo chin kwa chin kuhus hii MISHANGAZI na vijana tumekuwa washabik bila kujitambua wala kujielewa apo mbeleeee s mbaliii hutaitwa KIJANA ,,, TUNAISH SEHEM NDOGO SANAAA ,,,
Ukiwa na mshangazi habari za kulia lia na kuja kulalamika huku hakunaaa, ila mwisho wa siku kila mtu anachagua njia inayomfaa
 
Kws bed unaonekna uko vizur ebu njoo tuyajenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…