Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
- #161
Huyoo anachezea bahati ambayo kapewa na Mwenyezi, yaani mtu unapata bahati ya kuwa na mjuzi wa mambo yetu afu unachukulia poa,, kweli nimeamini mapenzi upofu na ndio maana uchepukaji haiwezi kuisha kamwee mpk aje mwenyewe lijedi wa mahabaWeeeh, kuna wa miaka hiyooo nilikuwa nampatia ile kisawasawa, nilipogundua mauzauza yake nakimbiza mbawa zangu hataki anasema haniachi....!!!
Tangu hapo natoa kiduuchuu ili hata tukiachana mtu asining'ang'anie uuweeeh, sirudii.
USHAURI: banaaa mpe yoteee!!, asaa ukibana BANA na kumpa kidunchuu, hiyo iliyobaki unampa nani Sasa?? Au michepuko??