Nimeamua rasmi nianze ku Date mishangazi TU na ikiwezekana nioe kabisa mmoja

Inaonekana unayaweza bibie,yaliyomo yamo
 
Tunachatisha mimaza chupi mkononi ufuska! Mimama yenyewe ss haitak kukubali ringi zimekata, granny on some heavy nostalgia shit.

Kuna shangaz na bibi wazee, bibi wa 50+ ni wa kuuliza vp diabetes, sugar level, miguu kama iko sawa sio kutoa somo la namna ya kusuuza mapumbu mweeh. Laana za lazima!

Shangazi anachezea 35 to 48/49 apo then its koi mil gaya, gone with the wind.
 
Nani ana namba ya Dr. Mipango
 
Na siku ukipigwa matukio na hiyo mishangazi yako usisahau kuleta mrejesho humu
 
Hapa umesomeka Sana mkuu Kasie, ushauri wako tutaufanyia kazi na tutakuletea mirejesho hapa hapa
 
Una misheni nae, atakuwa ana,ofisi yake nadhani mtu huyu .🥱
Mimi Mpenzi wangu ananipenda sana ..
Namshukuru sana huyu Mungu anayeniaidia Mimi...
Yaani Mapenzi Mazuri, Tunaenjoy kama tumeshakufa . .
Hadi Muda mwingine tunajiona tupo peponi hivi,
Yaani, kitoto Cha watu kinacheka Cheka tu kikiwa na Mimi .
Hadi Muda mwingine nakionea HURUMA kweli,
Kwa sababu nakipenda sana ..
Halafu......................
 
Mishangazi kwenye game yanakojoa mpka ubongo...yani mimi mwaka wa 10 huu niko nao mashangazi yana pepo yao
 
Mapenzi ni Raha Sanaa mkiwa kwenye amani, akikutenda Sasa!!!, unamuona fala na kumjengea chuki.....nakuombea isifike kwako na kukimbia kulia lia hapa JF kuomba msaada sawa?
 
Definition ya mishangazi ni ipi wapendwa?

Mwanamke mwenye Mwili mkubwa

Au

Mwanamke mwenye Umri mkubwa kunizidi mwanaume?
 
Naenjoy sana ndugu yangu..
Sijui Kwanini wewe huinjoy hivi
Pole sana wewe, mim Nakula Raha na bebby wangu
Kifo kitatutenganisha😃
Sawa mkuu....na Mimi nawaombea mazuri, shetani mvuruga amani asiingilie kati, kula Rahaa uwezavyo ila usisahau kuweka akiba ya furaha ya kesho maana lolote laweza kutokea sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…