Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
- Thread starter
-
- #161
Huyoo anachezea bahati ambayo kapewa na Mwenyezi, yaani mtu unapata bahati ya kuwa na mjuzi wa mambo yetu afu unachukulia poa,, kweli nimeamini mapenzi upofu na ndio maana uchepukaji haiwezi kuisha kamwee mpk aje mwenyewe lijedi wa mahabaWeeeh, kuna wa miaka hiyooo nilikuwa nampatia ile kisawasawa, nilipogundua mauzauza yake nakimbiza mbawa zangu hataki anasema haniachi....!!!
Tangu hapo natoa kiduuchuu ili hata tukiachana mtu asining'ang'anie uuweeeh, sirudii.
Huyoo anachezea bahati ambayo kapewa na Mwenyezi, yaani mtu unapata bahati ya kuwa na mjuzi wa mambo yetu afu unachukulia poa,, kweli nimeamini mapenzi upofu na ndio maana uchepukaji haiwezi kuisha kamwee mpk aje mwenyewe lijedi wa mahaba
USHAURI: banaaa mpe yoteee!!, asaa ukibana BANA na kumpa kidunchuu, hiyo iliyobaki unampa nani Sasa?? Au michepuko??
Nautaka na Mimi Sasa, nimeutamani Sanaa, sitouangusha nitaufurahisha......ila ili mzuka uzidi maradufu,, vigezo na masharti wa Uzi kuzingatia😘😚Siri ya kambii...
Kuchapiwa ni siri ya ndani na hakuepukiki...
Naubania bania ili usiishe...😄
Karibu sana bebi😌Bado sijampata....nije pm??
SawaKaribu sana bebi😌
Half american kaa pembeni sasa,,nna kijana wanguSawa
Duuh hukupata ukimwi mkuuUmemikumbusha kipindi nafanya kazi ya day worker baada ya kumaliza Chuo na kuelekea Arusha, Mshangazi mmoja aliniweka kuwa mtumwa wa ngono.
Akitoka kazini ananichukua jioni na gari yake ananipeleka kwake naoga then ananipa juisi ambayo nadhani alikuwa anaweka vitu vinavyonibust nguvu.
Kazi ya kufanya nae mapenzi usiku kucha then asubuhi anaenda kazini na mimi naelekea kiangaikoni wakati huo amanipatia pesa kidogo.
Nilitumika sana..kutoroka ilikuwa changamoto baada ya kugundua kuwa yule mshangazi alikuwa mafia na biashara za Mia.. ti.
Jamani Toa yoteeeeTangu hapo natoa kiduuchuu ili hata tukiachana mtu asining'ang'anie uuweeeh, sirudii.
Kwani Mshangazi alikuwa na Ukimwi?Duuh hukupata ukimwi mkuu
Hamkupima!?Kwani Mshangazi alikuwa na Ukimwi?
Unaziamini hizo test tools? Kuna machine na human error hizo zote zinaweza kuleta matokea isiyo sahihi na kuzua taaruki...wewe unatakiwa kuchukua taadhari wakati wa kufanya mapenzi kama ujamwamini mwenzio japo kila mmoja anataka kuishi.Hamkupima!?
Umefunga pm dear😪Half american kaa pembeni sasa,,nna kijana wangu
Laana!INSPIRED BY THIS PHOTO
View attachment 3125042
Nikiangalia huyo kijana ( IBWE ) ni Kama Mimi tuu kuanzia muonekano, body,utanashati, umri na kila kitu hatujapishana Sana labda kazi TU
Binafsi nimechoka kuwa na mahusiano na hivi videmu vya 2000 usumbufu mtupu!! na kupotezeana muda TU.
Binafsi bila kusurutishwa na mtu kuanzia Leo nimeamua kuanza kuwinda mishangazi TU. Nikikosa aliye single naiba wa mtu (potelea mbali KWAN'NINI )
Kuanzia Sasa ni Mimi na mishangazi, mishangazi na Mimi Tena wawe Kama huyo wenye minyama minyama aloooh nitake Nini Tena!!
Hii picha imeni inspire Sana, na sio Mimi TU najua pia imewa inspire vijana wengi unaweza kukataa hadharani ila moyoni una admit unabisha??....Acha kujidanganya mwili unakutaa roho inakubali au sio
Mbona huwa nipo pembeni toka muda, sijawai tuma maombi.Half american kaa pembeni sasa,,nna kijana wangu
Huko umeenda wewe,,mimi namaanisha akiona ukaribu atakimbiaMbona huwa nipo pembeni toka muda, sijawai tuma maombi.
Mishangazi inaanzi miaka mingapi,mana kuna watoto wa afu 2 wanaminyama mingiINSPIRED BY THIS PHOTO
View attachment 3125042
Nikiangalia huyo kijana ( IBWE ) ni Kama Mimi tuu kuanzia muonekano, body,utanashati, umri na kila kitu hatujapishana Sana labda kazi TU
Binafsi nimechoka kuwa na mahusiano na hivi videmu vya 2000 usumbufu mtupu!! na kupotezeana muda TU.
Binafsi bila kusurutishwa na mtu kuanzia Leo nimeamua kuanza kuwinda mishangazi TU. Nikikosa aliye single naiba wa mtu (potelea mbali KWAN'NINI )
Kuanzia Sasa ni Mimi na mishangazi, mishangazi na Mimi Tena wawe Kama huyo wenye minyama minyama aloooh nitake Nini Tena!!
Hii picha imeni inspire Sana, na sio Mimi TU najua pia imewa inspire vijana wengi unaweza kukataa hadharani ila moyoni una admit unabisha??....Acha kujidanganya mwili unakutaa roho inakubali au sio
Mishangazi inaanzi miaka mingapi,mana kuna watoto wa afu 2 wanaminyama mingi
Unapima hata mara tatu kwa kutumia tools tofauti zote haziwezi kukosea....then unakaa after 3weeks unarudia Tena kupima .....km ipo negative ww hukuumbia kuupata, ww endelea kuchakata mbususu km huna akili nzuri ( km ipo ipo TU , km haipo haipo TU )Unaziamini hizo test tools? Kuna machine na human error hizo zote zinaweza kuleta matokea isiyo sahihi na kuzua taaruki...wewe unatakiwa kuchukua taadhari wakati wa kufanya mapenzi kama ujamwamini mwenzio japo kila mmoja anataka kuishi.