Nimeamua rasmi nianze ku Date mishangazi TU na ikiwezekana nioe kabisa mmoja

Weeeh, kuna wa miaka hiyooo nilikuwa nampatia ile kisawasawa, nilipogundua mauzauza yake nakimbiza mbawa zangu hataki anasema haniachi....!!!

Tangu hapo natoa kiduuchuu ili hata tukiachana mtu asining'ang'anie uuweeeh, sirudii.
Huyoo anachezea bahati ambayo kapewa na Mwenyezi, yaani mtu unapata bahati ya kuwa na mjuzi wa mambo yetu afu unachukulia poa,, kweli nimeamini mapenzi upofu na ndio maana uchepukaji haiwezi kuisha kamwee mpk aje mwenyewe lijedi wa mahaba

USHAURI: banaaa mpe yoteee!!, asaa ukibana BANA na kumpa kidunchuu, hiyo iliyobaki unampa nani Sasa?? Au michepuko??
 


Siri ya kambii...

Kuchapiwa ni siri ya ndani na hakuepukiki...

Naubania bania ili usiishe...😄
 
Siri ya kambii...

Kuchapiwa ni siri ya ndani na hakuepukiki...

Naubania bania ili usiishe...😄
Nautaka na Mimi Sasa, nimeutamani Sanaa, sitouangusha nitaufurahisha......ila ili mzuka uzidi maradufu,, vigezo na masharti wa Uzi kuzingatia😘😚
 
Duuh hukupata ukimwi mkuu
 
Hamkupima!?
Unaziamini hizo test tools? Kuna machine na human error hizo zote zinaweza kuleta matokea isiyo sahihi na kuzua taaruki...wewe unatakiwa kuchukua taadhari wakati wa kufanya mapenzi kama ujamwamini mwenzio japo kila mmoja anataka kuishi.
 
Laana!
 
Mishangazi inaanzi miaka mingapi,mana kuna watoto wa afu 2 wanaminyama mingi
 
Unaziamini hizo test tools? Kuna machine na human error hizo zote zinaweza kuleta matokea isiyo sahihi na kuzua taaruki...wewe unatakiwa kuchukua taadhari wakati wa kufanya mapenzi kama ujamwamini mwenzio japo kila mmoja anataka kuishi.
Unapima hata mara tatu kwa kutumia tools tofauti zote haziwezi kukosea....then unakaa after 3weeks unarudia Tena kupima .....km ipo negative ww hukuumbia kuupata, ww endelea kuchakata mbususu km huna akili nzuri ( km ipo ipo TU , km haipo haipo TU )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…