Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari wa nzengo (salaam kutoka Jijini Mwanza)
Mimi ni kijana mpambanaji. Nimekua katika hustles kwa muda mrefu sasa naona milango ya baraka inafunguka na mimi sitaki kuchezea nafasi. Mwisho wa mwezi uliopita nilibahatika kununua kiwanja kwa bei ya kugalaliza vibaya sana.
Size ya kiwanja ni 25*23 hatua zangu za miguu.
View attachment 2254960View attachment 2254960
Kiwanja kina msingi wa vyumba viwili, sebule na choo & bafu. Wana ndugu, nimehamasika sana kujenga nyumba ya mwendokasi; chumba na sebule. Budget yangu ni milioni 1. Baadhi ya raw materials kama mchanga na maji ni vya bure maana nachota kando ya mto.
Tofali nanunua za choma. Fundi kanishauri nijenge kwa kutumia Molam.
Naombeni maoni na ushauri
Better late than never, we anza tu itafika level itakayokupa hatua ya kusonga mbele,!Habari wa nzengo (salaam kutoka Jijini Mwanza)
Mimi ni kijana mpambanaji. Nimekua katika hustles kwa muda mrefu sasa naona milango ya baraka inafunguka na mimi sitaki kuchezea nafasi. Mwisho wa mwezi uliopita nilibahatika kununua kiwanja kwa bei ya kugalaliza vibaya sana.
Size ya kiwanja ni 25*23 hatua zangu za miguu.
View attachment 2254960View attachment 2254960
Kiwanja kina msingi wa vyumba viwili, sebule na choo & bafu. Wana ndugu, nimehamasika sana kujenga nyumba ya mwendokasi; chumba na sebule. Budget yangu ni milioni 1. Baadhi ya raw materials kama mchanga na maji ni vya bure maana nachota kando ya mto.
Tofali nanunua za choma. Fundi kanishauri nijenge kwa kutumia Molam.
Naombeni maoni na ushauri
tunakuuzi kinoma noma utafikili wewe unalala kwenye frem uliyokodi kufanyia biashara zako.