OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Sawa mkuu nitajitajidi kwendaCCBRT wako vizuri sana!, na ndyo main objective (rehabilitation) ya hiyo center
Sawa mkuuusiogope muhimbili inaogofya kwa kusikia kwawatu na hata ambao pengine hatakufika hawajawahi nitumie hiyo rufaa nbox
Sawa mkuuMkuu,kwanza polee,cha kwanza inabidi ukubaliane na iyoo hali,
Pili pale Muhimbili yupo Dr mzuri anaitwa Dr Kija wa maswala ayoo.
Wahi mapema ili mtoto aanze rehabilitation as soon as possible.
Naongea from experince..
Asante sana mkubwaPole sana mdogo wangu
Bima anayo, NHIF MkuuNavyojua pale Muhimbili option ya kuchagua daktari wanaipata wagonjwa wa bima na wagonjwa wa Private ila ukienda kama mgonjwa wa public utapangiwa kliniki na utakuwa ukionana na daktari yeyote atakayekuwepo tarehe yako ya kliniki.
OK,ikiwa hivyo ukipata maelezo ya kuridhisha juu ya daktari gani ni mzuri basi itakuwa haina shida.Bima anayo, NHIF Mkuu
Wakuu habari..
Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.
Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.
Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.
Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?
Mbarikiwe😭😭😭
Asante sana mkuuPole sana.
Kwa sababu mna barua ya rufaa mfike tu na mtaelekezwa kwa daktari anayehusika na tatizo la mwanao.
Kila la kheri.
Pole mkuu.Ukifika Muhimbili utapokelewa na kupangiwa daktari bongwa wa kumtibu mtoto.Wakuu habari..
Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.
Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.
Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.
Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?
Mbarikiwe😭😭😭
Kuwa na imaniNgoja tukaonane nae tu daktari bingwa huwezi jua mwenyezi mungu anakusudi gani
Chief uko call?Polesana mkuu
Mungu akutangulie
Mnaletaga uswahili mwingi wakati wa kujifungua.... Matokeo yake ndiyo hayo..Nikiwaza mtoto wa dada yangu ana 6½yrs hawezi hata kuongea napata uchungu sana.
Pole sana mkuu.
Nina imani madaktari bingwa watakusaidia na atapona.
Usihukumu usije ukahukumiwa.Mnaletaga uswahili mwingi wakati wa kujifungua.... Matokeo yake ndiyo hayo..