Nimeandikiwa rufaa Muhimbili hospitali ya mtoto wa miaka miwili na nusu

Nimeandikiwa rufaa Muhimbili hospitali ya mtoto wa miaka miwili na nusu

Navyojua pale Muhimbili option ya kuchagua daktari wanaipata wagonjwa wa bima na wagonjwa wa Private ila ukienda kama mgonjwa wa public utapangiwa kliniki na utakuwa ukionana na daktari yeyote atakayekuwepo tarehe yako ya kliniki.
 
Navyojua pale Muhimbili option ya kuchagua daktari wanaipata wagonjwa wa bima na wagonjwa wa Private ila ukienda kama mgonjwa wa public utapangiwa kliniki na utakuwa ukionana na daktari yeyote atakayekuwepo tarehe yako ya kliniki.
Bima anayo, NHIF Mkuu
 
Wakuu habari..

Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.

Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.

Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.

Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?

Mbarikiwe😭😭😭

Pole sana.

Kwa sababu mna barua ya rufaa mfike tu na mtaelekezwa kwa daktari anayehusika na tatizo la mwanao.

Kila la kheri.
 
Wakuu habari..

Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.

Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.

Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.

Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?

Mbarikiwe😭😭😭
Pole mkuu.Ukifika Muhimbili utapokelewa na kupangiwa daktari bongwa wa kumtibu mtoto.
ANGALIZO KWAKO.
Ukisha pokelewa mtoto atalazwa. Tafadhali usifanye haraka kuomba kutoka wodini na kwenda kuishi kwa jamaa au ndugu .
Vumilia baki hospitali hadi mtoto atakapo patiwa matibabu na kuruhusiwa kurudi Dodoma.
 
Nikiwaza mtoto wa dada yangu ana 6½yrs hawezi hata kuongea napata uchungu sana.
Pole sana mkuu.
Nina imani madaktari bingwa watakusaidia na atapona.
 
Nikiwaza mtoto wa dada yangu ana 6½yrs hawezi hata kuongea napata uchungu sana.
Pole sana mkuu.
Nina imani madaktari bingwa watakusaidia na atapona.
Mnaletaga uswahili mwingi wakati wa kujifungua.... Matokeo yake ndiyo hayo..
 
Back
Top Bottom