Faka25
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 1,738
- 1,134
HahahaaaNimeaingalia yote; ni crap tupu. Siyo sinema ya kutangaza utalii Tanzania bali ni sinema ya kumtangaza Rais Samia!
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaNimeaingalia yote; ni crap tupu. Siyo sinema ya kutangaza utalii Tanzania bali ni sinema ya kumtangaza Rais Samia!
Ipo Youtube sa hii nzimaOkay ntaitafuta niiangalie ila iwe mchana usiku nisipate tabu kulala kwa woga 😜.
Ikulu kuna biashara gani? Kwa sauti ya Mzee alie timiza kumbu ya miaka [emoji817] ya kuzaliwa wiki iliyopita. (R.I.P)Kwani wakitumia gharama zao ndio fedha haitumiki?.
Hiyo bilioni 7 ndio fedha iliyotumika kuandaa hiyo filamu.
P
Kiroboto wa bi kiroboto kaziniUshauri wa Zitto mnaukumbuka?
Mi mwenyewe naungana na sukuma gang kudeal viroboto wote wa bi kiroboto nawaomba wazalendo wote mliopewa jina la sukuma gang tusiache kuwapelekea moto hawa vibwengoSu-gang on move...!huu ni wakati wa wengine kubalini tu kwa kweli,"mtapata tabu sana"
FILAMU NI NZURI NA INAVUTIA SANA PIA NI FAHARI KWA TANZANIA.
IMETENGENEZWA KWA PLAN YA KUDUMU KIUBORA KWA VIZAZI NA VIZAZI.
Kiroboto kapanicWewe na wanao, wote ni wachawi tu
Hahahaha kama anasinzia kumbe anaonaJiwe alimuamin mwanamke haraka kisa ni mweupe akaona itakua ni burudani akiwa karibu yake sasa mwanamke huyo huyo kanunuliwa ndo kawa chanzo cha maangamizi yake
Hata Samson aliuzwa na delila
Kubalini bana mkae tu pembeni na sisi tule bana,nyie si mlikula kibabe,dhulma,ujambazi,kupora,kutweza watu.Mi mwenyewe naungana na sukuma gang kudeal viroboto wote wa bi kiroboto nawaomba wazalendo wote mliopewa jina la sukuma gang tusiache kuwapelekea moto hawa vibwengo
Hata kimoja huna ushaidi lakini ndo sifa ya kuwa kiroboto unakula chakula alichukua bibi kirobotoKubalini bana mkae tu pembeni na sisi tule bana,nyie si mlikula kibabe,dhulma,ujambazi,kupora,kutweza watu.
#SSH_2040.
Maeneo mapya ya utalii kama yapi ambayo ulitegemea kuyaona na hukuyaona? Hiyo filamu inachukua muda gani mwanzo hadi mwisho...? Je, filamu haina zuri hata moja?🙏🙏🙏Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.
Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.
Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.
Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.
Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.
NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Uelekeo ni kule kilipo kitovu cha utalii 😂😂Kiroboto wa bi kiroboto kazini
na mgimba wenu usofenesi a.k.a kabwela
Nyani haoni kundule, "hiko" ndiyo nini? Kiswahili gani? Bora ungetumia kilugha chako ( your vernacular)Mtoa mada hiko kiingereza ni bora ungetumia Kiswahili.
Time duration Ni saa / dakika ngapiNimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.
Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.
Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.
Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.
Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.
NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Nyani haoni kundule, "hiko" ndiyo nini? Kiswahili gani? Bora ungetumia kilugha chako ( your vernacular)
We unafikiri filamu Hollywood Kama bongo movie!!!...mnalipana 30 elf kwa siku!!?...Angelina Jolie kwenye salt alilipwa dola 30m,kwenye the tourist 10m,director na wasaidizi wengine watalipwa ngapi!?Kama walitumia gharama zao ile bilioni 7 imetumika maeneo gani?