Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time duration Ni saa / dakika ngapi
Maeneo mapya ya utalii kama yapi ambayo ulitegemea kuyaona na hukuyaona? Hiyo filamu inachukua muda gani mwanzo hadi mwisho...? Je, filamu haina zuri hata moja?🙏🙏🙏
Ok. Asante. Basi tuchukue mazuri yaliyomo maana yanafaida kwa nchi. 🙏🙏🙏..Nilitegemea mbuga zilizoko southern and western tourist circuits zionyeshwe.
..Filamu inachukua saa moja na kama dakika kumi kwa kukadiria.
..Filamu inayo mazuri na pia ina mapungufu.
Nje ya Tz linaitwa lake Malawi, ni sisi peke yetu tunaoliita lake Nyasa...kwa taarifa yako ziwa Nyasa halikutajwa kabisa.
Kwahiyo hao ndiyo wamekupa thenkyu na kukukwot?
Hebu weka sawa hili kwa uwazi tusikuhukumu kwa ubaguzi kimakosa.
Mbona jamaa kajenga hoja yake poa tu ila umemjibu kitoto hivo ? Usimdharau mtu humu,nimetoka Uzi Fulani Kuna jamaa tunaye humu alinunua nyumba Dar Mwaka 2005 kwa Tsh 50milions na anachat humu,huyo naye wewe ukikutana naye uta assume Hana pesaUnafikiri akirudi ndo watoto wako watapata nafuu ya maisha, ikiwa we mwenyew mama yao ambae unajukumu la kuwatafutia watoto wako ugali, unashinda humu kuandika ushuzi ili tu upate Likes kutoka kwa wachangiaji hayawani. Wakati wewe unashinda hapa kuandika ushuzi ili uvune Likes za chawa wenzako, kuna wengine wanatumia muda huo kutengeneza pesa kwa ajili ya kesho yao na vizazi vyao bila kujali uwepo wa raisi.
Vijana wengi humu sisi ni wa Hovyo sanaMkuu huyu mtu wa makamo aliyeleta mada ndio unamtusi namna hii? Nadhani kuna haja ya kulumbana kwa hoja na sio kwa mihemko.
Haya mkuu mobutu seseseko.Mbona jamaa kajenga hoja yake poa tu ila umemjibu kitoto hivo ? Usimdharau mtu humu,nimetoka Uzi Fulani Kuna jamaa tunaye humu alinunua nyumba Dar Mwaka 2005 kwa Tsh 50milions na anachat humu,huyo naye wewe ukikutana naye uta assume Hana pesa
Kuna member nafahamiana nae humu ukioneshwa mjengo wake,uje uone I'd yake humu huwezi amini so heshimu ids hizi bwana mdogo,umemkosea sana huyo jamaa