Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kwa mziki gani uliopo Kenya sasa
Kamuulize rais wenu kwanini aliimba Extravaganza ya Sauti Sol mbele ya umati badala ya kuwa mzalendo na kutaja nyegezi au ngololoo.Hahaha kwa mziki gani uliopo Kenya sasa
Kamuulize rais wenu kwanini aliimba Extravaganza ya Sauti Sol mbele ya umati badala ya kuwa mzalendo na kutaja nyegezi au ngololoo.
Labda, na kichwa cha habari kilikuwa cha kifisiem, cha kiboya kama kawa. Eti 'Rais Magufuli awashobokea Sauti Sol, asema ni wateule wa Mungu' [emoji1]And this was news in Kenya.
Kuna aliekopi Ila sijajua Ni naniHivi yule Neddy wa Rwanda ile hitsong yake melody aliicopy kwa Goodluck Gozbert au Gozbert ndio alimcopy mwenzake?
Sauti sol tu ndio wanaeleweka nna nyimbo zao zoteKamuulize rais wenu kwanini aliimba Extravaganza ya Sauti Sol mbele ya umati badala ya kuwa mzalendo na kutaja nyegezi au ngololoo.
Sasa kama Kenya kuna mwanamuziki wa kushiriki wasafi wakenya wasingependa kusikiliza nyimbo za TZ wakati cc huku huyo msanii uliomtaja hata hatumfaham , au munaleta siasa kwenye mziki ilimradi tu washiriki wasanii wa EACHahaha kwa mziki gani uliopo Kenya sasa
Management ya wasafi haikufanya poa...wakumbuke kenya pia wana soko kubwa tu, sidhani km hko congo na nigeria ana soko ki vile km kenya..Mimi sio fanatic wa entertainment kiviile lakini hii video imenigusa, halafu huyu mkenya yupo down to earth kichizi na ndio maana nimemuelewa point yake, WCB should take notes from the guy
Sauti soul lazima uwakubali, manake wanakubalika sana...Sauti sol tu ndio wanaeleweka nna nyimbo zao zote
Management ya wasafi haikufanya poa...wakumbuke kenya pia wana soko kubwa tu, sidhani km hko congo na nigeria ana soko ki vile km kenya..
So management ndio tatizo
Sauti soul wangeliitwa hapo, mngelijionea maajabu..wale watu wanajua sana, sidhani km kuna mtu angeliwafunika kwenye jukwaa..Huyo mkenya aache kuwashwawashwa mziki ni biashara unaangalia soko linataka nini sio kuleta watu wa ajabiajabu Ili mradi uridhishe watu .Btw mbona hamna mganda,mrwanda m south au huko hakuna wasanii kama kenya
Kabisa, wajua kila mtu hilo jambo atalichukulia kivyake..wengine huenda ikawa imewauma km huyo jamaa hapo..Hapa nakuunga mkono kiroho safi. Nina imani watajifunza wakati ujao.