Nimeangalia video ya huyu Mkenya, WCB wanatakiwa kuitafakari

Nimeangalia video ya huyu Mkenya, WCB wanatakiwa kuitafakari

Kama wakenya wenyewe hawapendi nyimbo za wasanii wao 😂😂😂 unategemea nini sasa.
 
kwa mziki gani wa kenya?.

imagine vijana hawa wa nairobi ambao video zao zinatrend sana huko kwa sasa huko kenya ndio wangeletwa dar ku perform kwenye wasafi festival, bila shaka wangeishia kuzomewa.

tazama takataka hii.

LOL takataka, videography kama footage ya birthday party
 
Unaongeaga vitu out of context kabisa sijui unafikiri Unaongeaga na watoto wadogo, ndio maana nilikuulizaga una umri gani.
Kipi hapo out of context..hku kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni na kujieleza...

Halafu inaonyesha umeumia sana, vijana wa genge ndio habari ya mjini hku..heri sai wameanza kupata support
 
Sasa hao c wakubwa wenzake waliotamba enzi hizo sasa hivi zilipendwa
Eti afrika ya kati, we yaonekana fuat upepo tu..kw taarifa yako diamond hana kitu, mbwembwe tu zile...
Eti afrika ya kati, fally ipupa na kina koffi olamide vp?
 
Kamuulize rais wenu kwanini aliimba Extravaganza ya Sauti Sol mbele ya umati badala ya kuwa mzalendo na kutaja nyegezi au ngololoo.

Hata Mimi huwa nabambika na ukoo flani ngoma kama pinglinywee..
 
Sauti soul wangeliitwa hapo, mngelijionea maajabu..wale watu wanajua sana, sidhani km kuna mtu angeliwafunika kwenye jukwaa..
Manake kw live show tu, hawana mpinzani EAC..

Cheki hyo kwanza[emoji116][emoji116]
Hawamzidi diamond Acha kuleta siasa kwenye burudani
 
Kinacho wasumbua ni unafiki na wivu, wakenya ni wajanja sana...ukishampa nafasi moja tu, basi anafunga goli..

Cheki akothee alikua msanii local tu sana, alipopata chance ya kufanya collabo na diamond tu, dem alivuruga mpka naija na sauz..

Sasa diamond ajichanganye, afanye collabo na msanii wa kenya mwenye yuko poa kimziki, atashangaa..
Akothee ni vile tu hayuko vizuri
Mbona waenda mbele na kurudi nyuma [emoji38][emoji38]
Sasa hapo mkali Ni Akothee Au Diamond??Maana mond yeye hashuki anazidi kupanda
 
Hawa wakenya wakishindwa, ndio huanza kuhitaji ushirikiano, mbona sisi hatuhitaji kushirikiana nao katika "Marathon ".

Utakumbuka wakati tunapata Uhuru, walikataa kuungana na sisi kwasababu Kenya ilikua na hali nzuri ya uchumi zaidi ya Tanzania, sasa hivi wanaona uchumi wao unayumba, wanalazimisha tuungane na kuilaumu Tanzania kuchelewesha muungano wa EAC.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa kiboko yao sana
 
Mbona waenda mbele na kurudi nyuma [emoji38][emoji38]
Sasa hapo mkali Ni Akothee Au Diamond??Maana mond yeye hashuki anazidi kupanda
Jamani...tuusan mbna siku hz akili zako zimeganda..
Yani hapo unamaanisha hkunielewa
 
Hawamzidi diamond Acha kuleta siasa kwenye burudani
We ukitaka pinga tu..
Lkn ukwel unabaki pale pale, ya kwamba sauti soul kw live performance hawana mpinzani EA...
Yani una enjoy huku ukipiga vitu vyako pole pole tu...

Diamond na sauti sol huwez waeka pamoja, ile ni band ya burudani bana wacha kuwehuka tuusan..
 
Eti rayvanny na lava lava ..
Labda wakija wafanyie ukumbini...

Diamond na harmonize tu hawajawai fanya show kubwa na maana nairobi pekeyao...itakua hao vikaragosi..

Laivany, lavalava, kiba sasa wewe taja mmoja tu anaeweza tikisa bongo
 
Jiraniz nyie muendelee kukimbia na rugby. Hili la burudani ya muziki muiache kwa Bongoland 🙂
 
Back
Top Bottom