joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Wanajifungia kenya, lkn kinachoshangaza mziki wa kenya unalipa vizuri hata kuliko hko kwenu...
Sasa unataka mtu ajisumbue na hvyo vyote wakati jamaa mziki kwake sio tegemeo sana km walivyo wasaanii wengi wa kenya...
Utakuta jamaa ni doctor, architec n.k
Sio km hko kwenu msanii hta form1 hajui ikoje.. ndio manake ma celeb wenu hufanyika vitu vya kijinga jinga kw kutokua na elimu ya maana
Hawa wakenya wakishindwa, ndio huanza kuhitaji ushirikiano, mbona sisi hatuhitaji kushirikiana nao katika "Marathon ".I meant huyo anayelalamika kizuri kinajiuza! Mbona hufanya concerts na hawaaliki Wabongo!? Hapo wanatengeneza fitna!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kenya mwanamziki ni mmoja tu anaitwa mercy masika
Kama kuna wengine nitajieni
Hahaaa!!ana uhuru wa kutoa maoni..siku hz hku wasafi wameshindwa na wale vijana wa genge...hawa trend sana km vile hapo nyuma, siku hz ni wimbo mmoja mmoja sana...Na bado kisha.
Km kawaida yako, off topicHawa wakenya wakishindwa, ndio huanza kuhitaji ushirikiano, mbona sisi hatuhitaji kushirikiana nao katika "Marathon ".
Utakumbuka wakati tunapata Uhuru, walikataa kuungana na sisi kwasababu Kenya ilikua na hali nzuri ya uchumi zaidi ya Tanzania, sasa hivi wanaona uchumi wao unayumba, wanalazimisha tuungane na kuilaumu Tanzania kuchelewesha muungano wa EAC.
Kenya kwao sawa na msumbiji tuManagement ya wasafi haikufanya poa...wakumbuke kenya pia wana soko kubwa tu, sidhani km hko congo na nigeria ana soko ki vile km kenya..
So management ndio tatizo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], hapo jembe ni kiba tu..Ali Kiba, Nandy, Ashlay, Darasa, Prof. Jay, Harmonize, Mario...
Nitajie msanii kando ya harmonize na diamond anayeweza jaza show nairobi...Kenya kwao sawa na msumbiji tu
Sauti soul wangeliitwa hapo, mngelijionea maajabu..wale watu wanajua sana, sidhani km kuna mtu angeliwafunika kwenye jukwaa..
Manake kw live show tu, hawana mpinzani EAC..
Cheki hyo kwanza[emoji116][emoji116]
Watu hawakujaa kw sababu ya wivu na chuki....Miezi miwili iliyopita walikuja kufanya show Dar, walifanya katika ukumbi mdogo sana lakini watu hawakujaa, Mziki wa Kenya ni bado sana
kenya hakuna mziki, ni takatakaNitajie msanii kando ya harmonize na diamond anayeweza jaza show nairobi...
Hamna kitu nyie
Wasafi festival is not a charity festival , it’s pure business , if you have high demand your brand can compete on our market.
These Kenyan fools should learn this before spitting nonsense
We (Tz)have never demanded reciprocity on Nigerian Music shows due to the fact that Nigerian artists have high demand comparing to ours, it’s just a simple fact .
Kwani ni lazima kuwaita wakenya?, show bila wakenya haiendi?
Naona mmoja tu ambae kafikia level za kueleweka...Huu ni wivu brother its ok Wasafi hawana chochote ila yule kijana mdogo mwenye umri wa miaka 30 ametumia kipaji chake kuwainua mamia ya vijana wenzake wewe hadi sasa umefanya nini
Embu weka mkono kifuani kwako mwambie Mungu nisamehe kwa kuwa mimi ni mchawi
Ungelijua vile wasanii wa bongo wanavyotamani kuitwa show kenya, usingeliandika pumba hapa...Kwanza wakenya kama nani
Unalipa kuliko bongo we ushawahi kuimba au unaongea kama umevishwa khanga tu , msanii Namba 1 EAC NA KATI Diamond, mwenye Pesa nyingi bado Diamond sasa huko Kenya unalipa kuliko bongo unalipa niniWanajifungia kenya, lkn kinachoshangaza mziki wa kenya unalipa vizuri hata kuliko hko kwenu...
Sasa unataka mtu ajisumbue na hvyo vyote wakati jamaa mziki kwake sio tegemeo sana km walivyo wasaanii wengi wa kenya...
Utakuta jamaa ni doctor, architec n.k
Sio km hko kwenu msanii hta form1 hajui ikoje.. ndio manake ma celeb wenu hufanyika vitu vya kijinga jinga kw kutokua na elimu ya maana
Hahahah kichekesho cha siku [emoji23][emoji23][emoji23]
Muziki wenu unalipa my foot,
Mara ngapi wasanii wenu wanalalamika hawalipwi vizuri huku wakilaumu kuwa wasanii wa Tanzania wanalipwa vizuri huko,
Hiyo elimu ya maana imewasaidia nini wasanii wenu mbona bado wako local sana,
Kama mziki sio tegemeo kwa wasanii wenu sasa mbona kila mara ni kulalamika tu,
Muziki wa Tanzania ni kama maji usipoyanywa lazima utayaoga tu yaani,
Wasanii wenu hawavuki border wanaishia tu huko Wakati wasanii wetu karibia wote wanafahamika huko kutokana na kuwa ni wajanja wanaenda na Wakati wanajua soko linataka nini.
GoodluckHivi yule Neddy wa Rwanda ile hitsong yake melody aliicopy kwa Goodluck Gozbert au Gozbert ndio alimcopy mwenzake?