Nimeanza Biashara ya Kukopesha, naomba ushauri

Nimeanza Biashara ya Kukopesha, naomba ushauri

Kwa Taarifa Yako,
Hii Biashara nimeiwekea Malengo Ya mwaka huu 2022, ilete pesa sio chini ya milioni 1 na nusu net profit (riba)

nitaendelea nayo sana hata kama nikihama huu mtaa ninaoishi.

nishajua chocho za kuwapatia hawa wanaokopa sana.

π’Žπ’‚π’π’†π’π’ˆπ’ π’Žπ’‚π’Œπ’–π’– 𝒉𝒂𝒔𝒂:
mpaka ije ifike December 2022 nimepanga kununua kiwanja cha laki 7 na kuanza ujenzi wa chumba na sebule Haraka.

na inawezekana kwa sababu,

napata faida ya Tsh 40,000 mpaka 65,000 kwa wiki.

ikiendelea hivyo baada ya miezi 8 ntakua na NP of 1,280,000 kwa average ya 40,000 kila wiki.

pembeni nako nafanya udalali sana.

huu mwaka lazima nitimize malengo.
Kikubwa uhai mkuu
 
InawakaπŸ˜†
Inawaka vizuri sana! namsubiri saa 9 anipe 22k chap.

hapa nina order ya laki 3 wakati mfukoni nina elfu 28.

Hii biashara inalipa sana ukipata wateja wanaoeleweka.
IMG_20220330_122209_152.jpg
 
Hapo nimempoza tu ila kiukweli hio hela sinaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

napambana kwa wadau kuipata.

mtaji wangu kwa sasa ni 700,000 na wotw upo kwenye circulation.

kwa sasa nimefikia kuingiza faida ya laki 1 kwa wiki.. (riba)

sera yangu ya kukopesha kwa wiki 1 @ 20% interest imenisaidia kukuza faida kwa haraka
 
Hapo nimempoza tu ila kiukweli hio hela sinaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

napambana kwa wadau kuipata.

mtaji wangu kwa sasa ni 700,000 na wotw upo kwenye circulation.

kwa sasa nimefikia kuingiza faida ya laki 1 kwa wiki.. (riba)

sera yangu ya kukopesha kwa wiki 1 @ 20% interest imenisaidia kukuza faida kwa haraka
Dah hatari
 
Huyu katelekeza Tv yake hadi leo kwa Deni la 50,000.


Wakati anakuja kuchukua mkopo aliniomba achukue bila kuweka kitu bondi, lakini ajabu roho yangu ikamkatalia kabisa.

ndipo akaleta Tv, ameleta rejesho Moja tu (10,000) kisha kakaa kimya.

wenzangu mnaokopesha muwe makini sana

OGOPENI SANA WANAWAKE WANAOKUJA KUWAKOPA NA MANENO MAZURI MAZURI. wengi wao ni matapeli, wagumu kulipa n.k



IMG_20220416_104800_938.jpg
 
Huyu katelekeza Tv yake hadi leo kwa Deni la 50,000.


Wakati anakuja kuchukua mkopo aliniomba achukue bila kuweka kitu bondi, lakini ajabu roho yangu ikamkatalia kabisa.

ndipo akaleta Tv, ameleta rejesho Moja tu (10,000) kisha kakaa kimya.

wenzangu mnaokopesha muwe makini sana

OGOPENI SANA WANAWAKE WANAOKUJA KUWAKOPA NA MANENO MAZURI MAZURI. wengi wao ni matapeli, wagumu kulipa n.k



View attachment 2189361
Hapo ndo shida mi kuna mmoja anataka 30k aweke deki ya singsang imebidi nicheke tu hivi nani anatumia deki kama si kuniuzia kwa 30k
 
Kwa hatua za awali na pesa ndogondogo bado hakuna shida na uko salama..lakini jitahidi ujisajili na kupata nyaraka husika ila riba itakuwa sio hiyo bali ile ya mwongozo wa bank kuu

Ukiendelea bila nyaraka kuna wajuzi watakopa ndefu na hawatarejesha na hutakuwa na cha kuwafanya kisheria labda uwaroge
Labda uwaroge..πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Huyu katelekeza Tv yake hadi leo kwa Deni la 50,000.


Wakati anakuja kuchukua mkopo aliniomba achukue bila kuweka kitu bondi, lakini ajabu roho yangu ikamkatalia kabisa.

ndipo akaleta Tv, ameleta rejesho Moja tu (10,000) kisha kakaa kimya.

wenzangu mnaokopesha muwe makini sana

OGOPENI SANA WANAWAKE WANAOKUJA KUWAKOPA NA MANENO MAZURI MAZURI. wengi wao ni matapeli, wagumu kulipa n.k



View attachment 2189361
Umejiandaaje siku ukiletewa vitu vya wizi kama bondi...unaepukaje hili.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu katelekeza Tv yake hadi leo kwa Deni la 50,000.


Wakati anakuja kuchukua mkopo aliniomba achukue bila kuweka kitu bondi, lakini ajabu roho yangu ikamkatalia kabisa.

ndipo akaleta Tv, ameleta rejesho Moja tu (10,000) kisha kakaa kimya.

wenzangu mnaokopesha muwe makini sana

OGOPENI SANA WANAWAKE WANAOKUJA KUWAKOPA NA MANENO MAZURI MAZURI. wengi wao ni matapeli, wagumu kulipa n.k



View attachment 2189361
Wanataka kulipa kwa kukupa mbususu
 
Hii biashara ina pesa, Kuna jamaa yangu anaifanya sana, aiseeee jamaa anaongea na simu za mikopo balaa, ila riba ni 30% kama huwezi wewe nenda tu,

ndugu yangu watu wana shida na pesa dunia hii, yaani unakopa 1m unarudisha 1.3m, kwa mezi mmoja tu

wenyewe wanaita pesa za moto.
 
Wanaokopa ni wale wale ina maana hawanufaiki na hizo fedha,nimeona majina yanajirudia yale yale.Kwa kifupi ukianza kukopa fedha za namna hii kuacha ni vigumu na zinakufanya uwe mtumwa wa kukopa na kurudisha.
 
Wanaokopa ni wale wale ina maana hawanufaiki na hizo fedha,nimeona majina yanajirudia yale yale.Kwa kifupi ukianza kukopa fedha za namna hii kuacha ni vigumu na zinakufanya uwe mtumwa wa kukopa na kurudisha.
Ndio maana huku uswahilini zinaitwa hela za manyoka..!!!

#YNWA
 
InawakaπŸ˜†
Inawaka vizuri sana mkuuπŸ˜…πŸ˜…
mwenye mali katoka kunipigia sasa hivi anaomba nimpe mdaπŸ˜…πŸ˜…

Mi sina cha.mswalie mtume.. anipe riba 20,000 aendelee na mkopo wake ambao ni 50,000.

hio riba kaenda nayo wiki 2 bila kulipa
 
Wanaokopa ni wale wale ina maana hawanufaiki na hizo fedha,nimeona majina yanajirudia yale yale.Kwa kifupi ukianza kukopa fedha za namna hii kuacha ni vigumu na zinakufanya uwe mtumwa wa kukopa na kurudisha.


Ninachoshukuru Mungu ni kwamba pesa zinarudi kwa wakati.

wengine wanaenda na riba tu hata mara 4 kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom