kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,571
- 1,760
Kikubwa uhai mkuuKwa Taarifa Yako,
Hii Biashara nimeiwekea Malengo Ya mwaka huu 2022, ilete pesa sio chini ya milioni 1 na nusu net profit (riba)
nitaendelea nayo sana hata kama nikihama huu mtaa ninaoishi.
nishajua chocho za kuwapatia hawa wanaokopa sana.
πππππππ πππππ ππππ:
mpaka ije ifike December 2022 nimepanga kununua kiwanja cha laki 7 na kuanza ujenzi wa chumba na sebule Haraka.
na inawezekana kwa sababu,
napata faida ya Tsh 40,000 mpaka 65,000 kwa wiki.
ikiendelea hivyo baada ya miezi 8 ntakua na NP of 1,280,000 kwa average ya 40,000 kila wiki.
pembeni nako nafanya udalali sana.
huu mwaka lazima nitimize malengo.