unacheka unamana gani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 472
- 476
Nimeku text PM!Inawaka vizuri sana mkuu[emoji28][emoji28]
mwenye mali katoka kunipigia sasa hivi anaomba nimpe mda[emoji28][emoji28]
Mi sina cha.mswalie mtume.. anipe riba 20,000 aendelee na mkopo wake ambao ni 50,000.
hio riba kaenda nayo wiki 2 bila kulipa
Asante sana bossFanya kwa maandishi, mf.kama faida ni nusu ya ulichompa, Mimi fulani nimekuazima 150000, utanirudishia mwisho wa mwezi. Lakini umempa 100000.
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya mkuu huyo mama jack wa wapiBado nipo...
nina wadau wengi sana..
Kila mmoja ana account yake hadi wanashangaa nakumbukaje siku zao
View attachment 2189351View attachment 2189358
Wa hapa hapa mtaani kwangu mkuuOya mkuu huyo mama jack wa wapi
Mkuu ukitaka ujute kwenye hii biashara kopesha vijana wa rika la kati au watu wenye mambo mengi hasa hawa watumishi kwenye kada ya [emoji1980][emoji1980], wamama uzuri wao ni kwamba ni waoga hata ukimtishia polisi anakulipa kiurahisi lakini sio mwanaume!!Kwenye hii biashara inaonekana wakopaji wazuri ni wamama watu wazima
Pia walimu naskia nao ni wadau wakubwa sana kwenye hii industry...Mkuu ukitaka ujute kwenye hii biashara kopesha vijana wa rika la kati au watu wenye mambo mengi hasa hawa watumishi kwenye kada ya [emoji1980][emoji1980], wamama uzuri wao ni kwamba ni waoga hata ukimtishia polisi anakulipa kiurahisi lakini sio mwanaume!!
Sent from my SM-N950U1 using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu wala hujakosea na ni walipaji wazuri pia...Pia walimu naskia nao ni wadau wakubwa sana kwenye hii industry...
Walimu hapana aiseeKweli mkuu wala hujakosea na ni walipaji wazuri pia...
Mkuu hapa wew ndo utaangalia sas, lakin sio wote![emoji16][emoji16]Walimu hapana aisee
Mungu ni mwema, nimenunua kiwanja leo hii.
Natamani kufikia Dec 2022 niwe nimejenga hata chumba na sebule[emoji29][emoji29]
God Bless me NIJENGE MAPEMA
View attachment 2242147View attachment 2242150View attachment 2242152View attachment 2242153
Hongera mkuu
Mungu ni mwema sana.Hongera mkuu
sema kuna mwanasheria aliwahi kunishauri..Kuna mtu aliwahi kunishauri kwamba kama nakopesha basi niandikishane na mtu kwamba nilimsaidia sio nilimkopesha kwa sababu sina usajili
mfano, kama nakopesha elfu 40, rejesho ni 28,000 jumla 68,000 in two weeks
basi tuandikishane kwamba nimekusaidia elfu 68,000 umpeleke mtoto hospitali kisha utazirudisha baada ya wiki 2[emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu hongera sana, Mungu akufanikisheMungu ni mwema, nimenunua kiwanja leo hii.
Natamani kufikia Dec 2022 niwe nimejenga hata chumba na sebule[emoji29][emoji29]
God Bless me NIJENGE MAPEMA
View attachment 2242147View attachment 2242150View attachment 2242152View attachment 2242153