unacheka unamana gani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 472
- 476
Nimeku text PM!Inawaka vizuri sana mkuu[emoji28][emoji28]
mwenye mali katoka kunipigia sasa hivi anaomba nimpe mda[emoji28][emoji28]
Mi sina cha.mswalie mtume.. anipe riba 20,000 aendelee na mkopo wake ambao ni 50,000.
hio riba kaenda nayo wiki 2 bila kulipa