Nimeanza Biashara ya Kukopesha, naomba ushauri

Nimeanza Biashara ya Kukopesha, naomba ushauri

Unakabidhi mtaji wako kwa watu, subiri muda kidogo utajua hujui. Bora ufungue genge ufanye biashara za kawaida. Sikia kukopesha, Mkopaji anaweza akaingia mkatabata wowote unaomnyonya ili mradi tu aipate hiyo ela, akishaipata utasubiri.
riba ni mbaya hata mwenyezi mungu hapendi,utapata pesa kwasasa ila baadae mambo yatachange zile riba zote uliopokea zitayeyuka kama mshumaa
 
Nimestaajabu tu sikujua kuwa rejesho linakuwa hvyo
Biashara ni maelewano.

elfu 10 haiwezi kushindwa kuzaa mia 5 kwa siku ambayo ni 5% kwa mtu anaefanya biashara.

mfano mtu kaenda kununua viatu vya elfu 2 kachukua pea 5.

kaenda kuuza kila pea shs 3500.

3500 * 5 = 16,500 vipi hapo hajarejesha riba na faida kapata?
 
Biashara ni maelewano.

elfu 10 haiwezi kushindwa kuzaa mia 5 kwa siku ambayo ni 5% kwa mtu anaefanya biashara.

mfano mtu kaenda kununua viatu vya elfu 2 kachukua pea 5.

kaenda kuuza kila pea shs 3500.

3500 * 5 = 16,500 vipi hapo hajarejesha riba na faida kapata?
Ni sawa
 
Wazo zuri ila usikopeshe pesa nyingi kwa mtu mmoja na unaweza kuweka kiwango kwa mtu mmoja isizidi 50,000. Ni bora uwe na watu 100 uwakopeshe elfu 50 au chini ya hapo kuliko mtu mmoja kumkopesha milioni 5.
 
mkuu angalia tena riba yako ni kubwa sana, ina maana ukimkopesha mtu millioni moja kwa siku ni elf 50, na akikaa nayo mwezi ina maana ni million 1.5 na nusu, kwa lugha nyepesi ni kwamba mtu akikopa million moja kwa mwezi mmoja anarudisha million mbili na nusu, yaana faida ni 150%
mahesabu yangu ni kwamba kila elfu 10 izae kiasi fulani cha fedha per day

maximum loan ni Tsh 50,000

maximum period of return ni 14 days

atakaekubaliana na masharti aje tukae mezani tukubaliane endapo ikishindikana tunafanyaje.

Sikuwa na uzoefu mkubwa na mikopo ndio maana nikawaza hivi
 
Wateja wanaokopa kwa watu binafsi huwa waaminifu ili ufikie target au uingie kwenye anga zake ndio utaona balaa lake.


kuna kipindi watumishi walikopaga sana kwa jamaa flani, wakawa wanakubaliana huko mtaani bila taarifa kufika ofisini wakawa wanaacha ATM na PSSWD kwa mkopeshaji. Kumbe wamejiunga SIMBANKING yaani mshahara ukiingia tu jamaa wanauvuta kwenye simu wote mangi anabaki anashangaa kwenda ofisini wakamdai makaratasi yaliyoidhinishwa na Mwajiri HANA.

Kiungwana watumishi waliitwa wakaambiwa wawe wanalipa vinginevyo................... Ndio pona ya mangi
 
Hii biashara ngumu sana kuna jamaa yangu kamkopesha mtu 2M jamaa kaweka rehani Brevis na Kadi yake hadi sasa ni miezi8 gari ipo uani kwani na jamaa alilipa 1.2M zilizobaki anasema hana na ipo siku atalipa. Unamfanyaje mtu kama huyu utauza gari kwa laki8 na mnafanya kazi field moja?
 
Wateja wanaokopa kwa watu binafsi huwa waaminifu ili ufikie target au uingie kwenye anga zake ndio utaona balaa lake.


kuna kipindi watumishi walikopaga sana kwa jamaa flani, wakawa wanakubaliana huko mtaani bila taarifa kufika ofisini wakawa wanaacha ATM na PSSWD kwa mkopeshaji. Kumbe wamejiunga SIMBANKING yaani mshahara ukiingia tu jamaa wanauvuta kwenye simu wote mangi anabaki anashangaa kwenda ofisini wakamdai makaratasi yaliyoidhinishwa na Mwajiri HANA.

Kiungwana watumishi waliitwa wakaambiwa wawe wanalipa vinginevyo................... Ndio pona ya mangi
HakyaMungu mi ntatumia ukurya wangu kumkarabati mtu/watu wa hivyo

umafia utatumika kudili na watu kama hao sitakubali kufilisika kizembe😅😅
 
Hii biashara ngumu sana kuna jamaa yangu kamkopesha mtu 2M jamaa kaweka rehani Brevis na Kadi yake hadi sasa ni miezi8 gari ipo uani kwani na jamaa alilipa 1.2M zilizobaki anasema hana na ipo siku atalipa. Unamfanyaje mtu kama huyu utauza gari kwa laki8 na mnafanya kazi field moja?
Urafiki unaua biashara
 
Wateja wanaokopa kwa watu binafsi huwa waaminifu ili ufikie target au uingie kwenye anga zake ndio utaona balaa lake.


kuna kipindi watumishi walikopaga sana kwa jamaa flani, wakawa wanakubaliana huko mtaani bila taarifa kufika ofisini wakawa wanaacha ATM na PSSWD kwa mkopeshaji. Kumbe wamejiunga SIMBANKING yaani mshahara ukiingia tu jamaa wanauvuta kwenye simu wote mangi anabaki anashangaa kwenda ofisini wakamdai makaratasi yaliyoidhinishwa na Mwajiri HANA.

Kiungwana watumishi waliitwa wakaambiwa wawe wanalipa vinginevyo................... Ndio pona ya mangi
Watumishi wahuni! Mangi aliisoma namba 😅😅😅 alitaka kuleta janja janja
 
Back
Top Bottom