Nimeanza kuamini kuwa wanawake wana roho mbaya na ubinafsi mkubwa sana

Nimeanza kuamini kuwa wanawake wana roho mbaya na ubinafsi mkubwa sana

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
kuna mke wa jirani yangu anaitwa mama D

Huyu mama D nimemkuta anaishi na mtoto ambaye Ana umri 18+ huyu mtoto Ana undugu na mume wake .

Sasa nimemtfutia Kazi huyu binti

Kazi yenyewe atalipwa 300K Kwa mwezi


Sasa mama D amekasirika hatari anadai huyo mtoto hafai na hiyo Kazi nimtafutie yeye.

Sasa Mimi nimecheza na akili yake nimemwambia IPO Kazi nzuri nitamuunganisha na atalipwa 600K na hiyo ya 300K amuachie dogo.

Sasa Kama mnavyojua wanawake walivyo na machale amegundua namdanganya

So jana yule binti ndugu wa Mme wake kaenda kuripoti kazini alichokifanya kapiga simu kwa boss Kuwa yule binti ni jeuri na hafai .

So boss aliponicheki na kunipa hizi habari nimechukia Sana .

Yaana mama wa 35 anambania binti wa 18 duuu!!!

Kuweni makini na wanawake Sana hasa hawa broke women.
 
kuna mke wa jirani yangu anaitwa mama D

Huyu mama D nimemkuta anaishi na mtoto ambaye Ana umri 18+ huyu mtoto Ana undugu na mume wake .

Sasa nimemtfutia Kazi huyu binti

Kazi yenyewe atalipwa 300K Kwa mwezi


Sasa mama D amekasirika hatari anadai huyo mtoto hafai na hiyo Kazi nimtafutie yeye.

Sasa Mimi nimecheza na akili yake nimemwambia IPO Kazi nzuri nitamuunganisha na atalipwa 600K na hiyo ya 300K amuachie dogo.

Sasa Kama mnavyojua wanawake walivyo na machale amegundua namdanganya

So jana yule binti ndugu wa Mme wake kaenda kuripoti kazini alichokifanya kapiga simu kwa boss Kuwa yule binti ni jeuri na hafai .

So boss aliponicheki na kunipa hizi habari nimechukia Sana .

Yaana mama wa 35 anambania binti wa 18 duuu!!!

Kuweni makini na wanawake Sana hasa hawa broke women.
Muda si mrefu tumesifiwa 😄😄tumeharibu tena daaaa! 😜
 
Naandika nafuta...

Ila adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake...
Mwanamke ni adui wa jinsi zote. Miaka Ile nilimaliza chuo Sina ramani, binamu yangu akanitafutia kibarua kizuri, nikaripoti nikaanza vizuri.

Baada wiki Moja Shangazi(mama yake binamu yangu) akapata taarifa kuwa nimetafutiwa kibarua na binamu.

Sasa Kumbe Shangazi alikuwa anasali Kanisa Moja na boss wa ile kampuni. Alimtafuta na kuniharibia eti mimi ni mwizi wa muda mrefu na nilishamuibia mara nyingi pale nyumbani kwake.

Boss alimuanini Shangazi maana Shangazi alikuwa kiongozi mkubwa pale kanisani kwao hivyo nikafikuzwa kazi.
 
Mwanamke ni adui wa jinsi zote. Miaka Ile nilimaliza chuo Sina ramani, binamu yangu akanitafutia kibarua kizuri, nikaripoti nikaanza vizuri.

Baada wiki Moja Shangazi(mama yake binamu yangu) akapata taarifa kuwa nimetafutiwa kibarua na binamu.

Sasa Kumbe Shangazi alikuwa anasali Kanisa Moja na boss wa ile kampuni. Alimtafuta na kunuharibia eti mimi ni mwizi wa muda mrefu na nilishamuibia mara nyingi pale nyumbani kwake.

Boss alimuanini Shangazi maana Shangazi alikuwa kiongozi mkubwa pale kanisani kwao hivyo nikafikuzwa kazi.
Pole sana Mkuu!
 
Back
Top Bottom