Nimeanza kuamini kuwa wanawake wana roho mbaya na ubinafsi mkubwa sana

Nimeanza kuamini kuwa wanawake wana roho mbaya na ubinafsi mkubwa sana

Mwanamke ni adui wa jinsi zote. Miaka Ile nilimaliza chuo Sina ramani, binamu yangu akanitafutia kibarua kizuri, nikaripoti nikaanza vizuri.

Baada wiki Moja Shangazi(mama yake binamu yangu) akapata taarifa kuwa nimetafutiwa kibarua na binamu.

Sasa Kumbe Shangazi alikuwa anasali Kanisa Moja na boss wa ile kampuni. Alimtafuta na kuniharibia eti mimi ni mwizi wa muda mrefu na nilishamuibia mara nyingi pale nyumbani kwake.

Boss alimuanini Shangazi maana Shangazi alikuwa kiongozi mkubwa pale kanisani kwao hivyo nikafikuzwa kazi.
Pole sana mkuu. Siku mambo yako yakikaa sawa kisha huyo shangazi akajaa katika 18 zako mpige risasi ya kichwa kisha lala mbele..
 
Mwanamke ni adui wa jinsi zote. Miaka Ile nilimaliza chuo Sina ramani, binamu yangu akanitafutia kibarua kizuri, nikaripoti nikaanza vizuri.

Baada wiki Moja Shangazi(mama yake binamu yangu) akapata taarifa kuwa nimetafutiwa kibarua na binamu.

Sasa Kumbe Shangazi alikuwa anasali Kanisa Moja na boss wa ile kampuni. Alimtafuta na kuniharibia eti mimi ni mwizi wa muda mrefu na nilishamuibia mara nyingi pale nyumbani kwake.

Boss alimuanini Shangazi maana Shangazi alikuwa kiongozi mkubwa pale kanisani kwao hivyo nikafikuzwa kazi.
Duu wanawake aiseeee
 
Mwanamke ni adui wa jinsi zote. Miaka Ile nilimaliza chuo Sina ramani, binamu yangu akanitafutia kibarua kizuri, nikaripoti nikaanza vizuri.

Baada wiki Moja Shangazi(mama yake binamu yangu) akapata taarifa kuwa nimetafutiwa kibarua na binamu.

Sasa Kumbe Shangazi alikuwa anasali Kanisa Moja na boss wa ile kampuni. Alimtafuta na kuniharibia eti mimi ni mwizi wa muda mrefu na nilishamuibia mara nyingi pale nyumbani kwake.

Boss alimuanini Shangazi maana Shangazi alikuwa kiongozi mkubwa pale kanisani kwao hivyo nikafikuzwa kazi.
Duuh na ndugu wanawake ni wabaya zaidi
 
Me kila siku huwa nasema ukiona janamke linasita sita jikatae, kitakuja kukuletea balaa na mimi mabalaa siyataki. Wanawake noma sana aisee
 
kuna mke wa jirani yangu anaitwa mama D

Huyu mama D nimemkuta anaishi na mtoto ambaye Ana umri 18+ huyu mtoto Ana undugu na mume wake .

Sasa nimemtfutia Kazi huyu binti

Kazi yenyewe atalipwa 300K Kwa mwezi


Sasa mama D amekasirika hatari anadai huyo mtoto hafai na hiyo Kazi nimtafutie yeye.

Sasa Mimi nimecheza na akili yake nimemwambia IPO Kazi nzuri nitamuunganisha na atalipwa 600K na hiyo ya 300K amuachie dogo.

Sasa Kama mnavyojua wanawake walivyo na machale amegundua namdanganya

So jana yule binti ndugu wa Mme wake kaenda kuripoti kazini alichokifanya kapiga simu kwa boss Kuwa yule binti ni jeuri na hafai .

So boss aliponicheki na kunipa hizi habari nimechukia Sana .

Yaana mama wa 35 anambania binti wa 18 duuu!!!

Kuweni makini na wanawake Sana hasa hawa broke women.
Usiseme wanawake sema mwanamke huyu, kama wapo wanawake wenye roho nzuri na wapo wanaume wenye roho mbaya ndugu wa mke hawezi kuishi nyumbani kwake hata siku moja
 
kuna mke wa jirani yangu anaitwa mama D

Huyu mama D nimemkuta anaishi na mtoto ambaye Ana umri 18+ huyu mtoto Ana undugu na mume wake .

Sasa nimemtfutia Kazi huyu binti

Kazi yenyewe atalipwa 300K Kwa mwezi


Sasa mama D amekasirika hatari anadai huyo mtoto hafai na hiyo Kazi nimtafutie yeye.

Sasa Mimi nimecheza na akili yake nimemwambia IPO Kazi nzuri nitamuunganisha na atalipwa 600K na hiyo ya 300K amuachie dogo.

Sasa Kama mnavyojua wanawake walivyo na machale amegundua namdanganya

So jana yule binti ndugu wa Mme wake kaenda kuripoti kazini alichokifanya kapiga simu kwa boss Kuwa yule binti ni jeuri na hafai .

So boss aliponicheki na kunipa hizi habari nimechukia Sana .

Yaana mama wa 35 anambania binti wa 18 duuu!!!

Kuweni makini na wanawake Sana hasa hawa broke women.
Usihukumu wanawake wote akiwamo mama yako aliyekuzaa na kukulea mwanangu. Binadamu hatufanani na wala huna ushahidi wa kuhukumu wanawake wote. Je na huyo binti unayemhangaikia naye ni mwanamke?
 
Usihukumu wanawake wote akiwamo mama yako aliyekuzaa na kukulea mwanangu. Binadamu hatufanani na wala huna ushahidi wa kuhukumu wanawake wote. Je na huyo binti unayemhangaikia naye ni mwanamke?
Haya mambo hauwezi kuyaelewa

Wanawake wana kitu inaitwa Crab mentality (Kaa kwenye ndoo)

They don't want to see mtu mwingine anafanikiwa zaidi yao most of them are depressed, dumber and idiots
 
Mtom
kuna mke wa jirani yangu anaitwa mama D

Huyu mama D nimemkuta anaishi na mtoto ambaye Ana umri 18+ huyu mtoto Ana undugu na mume wake .

Sasa nimemtfutia Kazi huyu binti

Kazi yenyewe atalipwa 300K Kwa mwezi


Sasa mama D amekasirika hatari anadai huyo mtoto hafai na hiyo Kazi nimtafutie yeye.

Sasa Mimi nimecheza na akili yake nimemwambia IPO Kazi nzuri nitamuunganisha na atalipwa 600K na hiyo ya 300K amuachie dogo.

Sasa Kama mnavyojua wanawake walivyo na machale amegundua namdanganya

So jana yule binti ndugu wa Mme wake kaenda kuripoti kazini alichokifanya kapiga simu kwa boss Kuwa yule binti ni jeuri na hafai .

So boss aliponicheki na kunipa hizi habari nimechukia Sana .

Yaana mama wa 35 anambania binti wa 18 duuu!!!

Kuweni makini na wanawake Sana hasa hawa broke women.
Mtombe
 
Pamoja na yote Mwanamke mwenye Tako lake zuri hawezi kuwa na roho mbaya kabisa na ni wapole sana!!!! Lakin sasa! akoseee Tako......uwiiiiii umeisha.

Oweni kwa kuangalia shepu jmn tabia ya binadamu haitabiliki.
 
Haya mambo hauwezi kuyaelewa

Wanawake wana kitu inaitwa Crab mentality (Kaa kwenye ndoo)

They don't want to see mtu mwingine anafanikiwa zaidi yao most of them are depressed, dumber and idiots
Hata wewe hujui hicho unachosema wala huwajui hao wanawake. Unaposema most of them are depressed, are you not? What of men? Why are they? Why is gendered depression? What are solutions? Where is the real problem? How can we address and arrests it? How big is it? How endemic is it? Who is to blame? Can you be specifically? Do you have any academic evidence to back your assertion? What is its historicity?
 
Hata wewe hujui hicho unachosema wala huwajui hao wanawake. Unaposema most of them are depressed, are you not? What of men? Why are they? Why is gendered depression? What are solutions? Where is the real problem? How can we address and arrests it? How big is it? How endemic is it? Who is to blame? Can you be specifically? Do you have any academic evidence to back your assertion? What is its historicity?
Endelea kufanya argument
 
kuna mke wa jirani yangu anaitwa mama D

Huyu mama D nimemkuta anaishi na mtoto ambaye Ana umri 18+ huyu mtoto Ana undugu na mume wake .

Sasa nimemtfutia Kazi huyu binti

Kazi yenyewe atalipwa 300K Kwa mwezi


Sasa mama D amekasirika hatari anadai huyo mtoto hafai na hiyo Kazi nimtafutie yeye.

Sasa Mimi nimecheza na akili yake nimemwambia IPO Kazi nzuri nitamuunganisha na atalipwa 600K na hiyo ya 300K amuachie dogo.

Sasa Kama mnavyojua wanawake walivyo na machale amegundua namdanganya

So jana yule binti ndugu wa Mme wake kaenda kuripoti kazini alichokifanya kapiga simu kwa boss Kuwa yule binti ni jeuri na hafai .

So boss aliponicheki na kunipa hizi habari nimechukia Sana .

Yaana mama wa 35 anambania binti wa 18 duuu!!!

Kuweni makini na wanawake Sana hasa hawa broke women.
Pita nae
 
Haya mambo hauwezi kuyaelewa

Wanawake wana kitu inaitwa Crab mentality (Kaa kwenye ndoo)

They don't want to see mtu mwingine anafanikiwa zaidi yao most of them are depressed, dumber and idiots
Jibu maswali au useme huwezi badala yackurudia utopolo uleule. Kwani wanaume hawana tabia hizo?
 
Mwanamke ni adui wa jinsi zote. Miaka Ile nilimaliza chuo Sina ramani, binamu yangu akanitafutia kibarua kizuri, nikaripoti nikaanza vizuri.

Baada wiki Moja Shangazi(mama yake binamu yangu) akapata taarifa kuwa nimetafutiwa kibarua na binamu.

Sasa Kumbe Shangazi alikuwa anasali Kanisa Moja na boss wa ile kampuni. Alimtafuta na kuniharibia eti mimi ni mwizi wa muda mrefu na nilishamuibia mara nyingi pale nyumbani kwake.

Boss alimuanini Shangazi maana Shangazi alikuwa kiongozi mkubwa pale kanisani kwao hivyo nikafikuzwa kazi.
Wizi umekukost acha tabia mbaya
 
Back
Top Bottom