Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee mimi yalishapita, sasa naona wewe juzi tu hujakoma unarudia tena shauri yako😂😂😂 Hivi kumbe upo! We dada yakwako ni makubwa haswa yesu akusaidie tu
😂😂 na nakuombea kikupate kitu kizito hadi umfate Melo mwenyewe 😂Heri mimi ninakauzoefu wewe sasa pigo moja tu ukajakulia jf nzima..😂
Pole bibi financial.
Haya tutaona we penda tena baba, penda tu litakupata jambo😂Kwa uzoefu nilionao siwezi kazi kwako utawaita hadi malaika uwaambie mnamuona huyu gaidi anachonitenda..😂
Baba wewe utalia kama litoto, eti malaika😂😂Shindwa pepo shindwa na ugalegale fireeeeeeee.. niache na my wangu hatuachani sahivi nimepata malaika.
Kapole ila kazururajiKuna binti nimeanza kumpenda najitahidi nisimpende tatizo hisia zishalalanae mbele, kwa yule wa kwanza tulieachana alinichezesha muvi la kihindi huyu sasa sijui itakuwaje.
Sina mengi ila tuombeane tu mambo yaende safi maana mpaka hivi sasa naona nina degree ya kuumizwa moyo wangu nao unazidi kupenda kama jana na zaidi ya leo.[emoji26]
Sifa zake ni:
- Kapole ila kazururaji
- Hakanywi bia ila kanaonja
- Mwembamba maji ya kunde na mwisho kanapenda kuvaa Madera.
Tuombeane tu tuvuke salama.[emoji26]
Njoo nikufanyie wepesi kawe kako peke yakoNa mshahara nitapata..[emoji2]
Hahhaahah mwenyewe manzi ujueWe jamaa unaonaga sifa kuanzisha nyuzi za kiduanzi kama manzi yani dah.
Jamaa huwa anadai hela baada ta matokeo +Bure au kwa hela kaka..?
Bwashee acha kutumia moyo ktk mapenzi utakufa kabla ya wakati wako, utakufa hakikaaaa [emoji3][emoji3]Kuna binti nimeanza kumpenda najitahidi nisimpende tatizo hisia zishalalanae mbele, kwa yule wa kwanza tulieachana alinichezesha muvi la kihindi huyu sasa sijui itakuwaje.
Sina mengi ila tuombeane tu mambo yaende safi maana mpaka hivi sasa naona nina degree ya kuumizwa moyo wangu nao unazidi kupenda kama jana na zaidi ya leo.[emoji26]
Sifa zake ni:
- Kapole ila kazururaji
- Hakanywi bia ila kanaonja
- Mwembamba maji ya kunde na mwisho kanapenda kuvaa Madera.
Tuombeane tu tuvuke salama.[emoji26]
Akuu niwe upande wako ili iweje, mwendo ni huu huu, umesahau ulivonisema sana kwenye ule uzi? Nakumbuka vizuriiFinancial just sometimes try to be on my side dear we kila siku kashkash Kama hivi dah!