Nimeanza kuzalisha Cricket Insects kwa matumizi yangu tu

Nimeanza kuzalisha Cricket Insects kwa matumizi yangu tu

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Niameanza zalisha Cricket Insects kwa matumizi yangu ya kula tu, kwa kuanzia, Cricket ni moja ya Edble Insects na Asia wanaliwa sana ikiwa na pamoja na ku export Ulaya.

Cricket kwa radha ni sawa na Senene, au kumbikumbi walivyo na wote ni jamii moja.

Sasa nilipata mbegu Kenya nimeanza zalisha kwa matumizi yangu ambapo nakuwa nawakausha nasaga na ule unga wake nachanganya kwenye unga wa ngano kwa ajili ya kutengeneza mandazi au Chapati.

Ila kwa baadae sana unga wake nitawasaidia jamii ya watu wenye Watoto wenye utapia mloa hasa wawe wanachanganya kwenye unga wa uji na kuwapikia watoto.

Cricket wana Protein kari sana na pia wana Amino acid zote ndio pekee unaweza pata amino acid zote.

Unaweza zalisha kwa ajili ya kulishia mifugo ila kwangu naona ni hasara sana kuwalishia mifugo.

IMG-20230114-WA0000.jpg
FB_IMG_1673668254277.jpg
FB_IMG_1673668269565.jpg
FB_IMG_1673668241018.jpg
FB_IMG_1673668225015.jpg
Screenshot_20230113_201909_com.twitter.android.jpg
 
Vyakula vimeisha mpaka uanze kula wadudu [emoji15][emoji15][emoji15]
Wazungu baada ya kuona wame mess up sana hasa kwenye vyakula sasa wamegeukiwa Insext kwa speed kubwa sana, kula Insects si kwamba vyakula vimeisha, kwani Senene kule bukoba ndio chakula kikuu? hii ni Protein salama mkuu vyakula kama ugari na kadhalika tutaendelea kula
 
Niameanza zalisha Cricket Insects kwa matumizi yangu ya kula tu, kwa kuanzia, Cricket ni moja ya Edble Insects na Asia wanaliwa sana ikiwa na pamoja na ku export Ulaya.

Cricket kwa radha ni sawa na Senene, au kumbikumbi walivyo na wote ni jamii moja.

Sasa nilipata mbegu Kenya nimeanza zalisha kwa matumizi yangu ambapo nakuwa nawakausha nasaga na ule unga wake nachanganya kwenye unga wa ngano kwa ajili ya kutengeneza mandazi au Chapati.

Ila kwa baadae sana unga wake nitawasaidia jamii ya watu wenye Watoto wenye utapia mloa hasa wawe wanachanganya kwenye unga wa uji na kuwapikia watoto.

Cricket wana Protein kari sana na pia wana Amino acid zote ndio pekee unaweza pata amino acid zote.

Unaweza zalisha kwa ajili ya kulishia mifugo ila kwangu naona ni hasara sana kuwalishia mifugo.View attachment 2481278View attachment 2481280View attachment 2481281View attachment 2481282View attachment 2481283View attachment 2481285
Tunako elekea mtafuga hadi Nzi
 
Wazungu baada ya kuona wame mess up sana hasa kwenye vyakula sasa wamegeukiwa Insext kwa speed kubwa sana, kula Insects si kwamba vyakula vimeisha, kwani Senene kule bukoba ndio chakula kikuu? hii ni Protein salama mkuu vyakula kama ugari na kadhalika tutaendelea kula
Kuna mghana kafungua mgahawa Paris ya wadudu tu na ana wateja kibao anatengeneza hela sana
Kweli ni kawaida sana

Kwa Africa tuna ile mentality ya kusema ni masikini tu ndio wanakula hiki na kile
 
Mkuu hawa nashindwa kuwatofautisha na wale wadudu waharibifu wa mimea pindi ikiwa michanga/teke, wana tabia ya kujificha chini kwenye madongo nyakati za asbh b4 jua kuchomoza ukiwashtua tu wanarukaruka kwa kusambaa!!
Nyakati za ujana wangu nilikuwa nawafakamia sana senene na kumbikumbi! lakini siku hizi baada ya kuota kitambi salaleeh nikila domo linajaa mate mepesi kama mang'ati aliyetafuna tumbaku na magadi...!! yaani lazima nirudishe chenji fasta!!
 
Mkuu hawa nashindwa kuwatofautisha na wale wadudu waharibifu wa mimea pindi ikiwa michanga/teke, wana tabia ya kujificha chini kwenye madongo nyakati za asbh b4 jua kuchomoza ukiwashtua tu wanarukaruka kwa kusambaa!!
Nyakati za ujana wangu nilikuwa nawafakamia sana senene na kumbikumbi! lakini siku hizi baada ya kuota kitambi salaleeh nikila domo linajaa mate mepesi kama mang'ati aliyetafuna tumbaku na magadi...!! yaani lazima nirudishe chenji fasta!!
Hao wadogo waharibifu wa mimea michanga wanaitwa mole cricket. Wanakata miche michanga.
Sasa wapo wakubwa sana kama dole gumba hawana vurugu ni hao anaowasema mdau kama sikosei.
Senene sijawahi kula ila kumbikumbi hata sasa wakati naandika vijana wamekamata wengi usiku uliopita wanakaanga ni watamu balaa.
Siku chache zilizopita walikamata wa kujaa roba la 50kg, tumekula hadi kuwachoka tunawatupia samaki.
 
Back
Top Bottom