Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,292
- 7,867
Yaani umewapa jina zuri kumbe NGALAVI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cricket ni watamuKuna jamaa alinambia ni watamu kuzidi nyama aisee nilimcheki nikaona huyu jamaa hajui mnyumbuliko wa nyama kinywani vizuri
HapanaNa Mende unakula mkuu?
Kwani wanaliwa kwama Lunch au Dinner?Nimeshangaa kweli pia
Kwani wanaliwa kwama Lunch au Dinner?
Mi nawaogopa kweli,so sijui mkuuKwani wanaliwa kwama Lunch au Dinner?
Watanzania tuna ujinga sana, kuna siku nilipeaa storie na dada mmoja wa UNDP kulikuwa na fundi ya kuzalisha wale Black soldier Fly larvae kwa ajili ya mifugo, sasa Watanzania hakuna alie taka, kila mmoja eti anaona kinyaaa kinyaaa.Tunako elekea mtafuga hadi Nzi
Mkuu kuna Fund ilitoleaaga Tanzania kwa ajili ya wale Black Soldie Fly Watanzania tukawa hatutaki tunaona kinyaa, fund wakaja pewa Wazungu wakaanzisha shamba Mkulanga, wamepiga pesa balaaa fikiria walipeaa Dolla million 3, nilipewaga hii habari niliumia sana, na wazungu mbaya zaidi waliendelea pia kuwa suppoted hata baafa ya kupewa hizo Million 3 USD.Kuna mghana kafungua mgahawa Paris ya wadudu tu na ana wateja kibao anatengeneza hela sana
Kweli ni kawaida sana
Kwa Africa tuna ile mentality ya kusema ni masikini tu ndio wanakula hiki na kile
Zinaua mkuu? Siwafugii ndani ninako lala, ni nje na sio muda wote wanapiga kelele na kuna sabanu zake za kupiga kelele ukiwasikia usiku wanapiga kelee wana sababu so utashangaa banadani wako kimyaMkuu zile kelele zao vipi
Hawalii wakati wote, usha wasikia mchana wanalia? sasa wanatengenezewa mazingira tu hutawasikia tena wakiliaWanakelele hao wadudu balaa.
Wanalia kama filimbi, tumewachezea sana tukiwa wadogo. Ni wale wakubwa siyo mole cricket.
Shamba wapo wengi wakubwa sana kama dole gumba (thumb) au zaidi.
Hilo ni lako mkuuJazia ka-bolded line kasomeke "wanaongeza nguvu..."
Mwezi mmoja tu, utakua na order zisizokifani. [emoji1787]
Ni tofauti kabisa hawa ni wanakula vitu kama majani, na wanaishi juu hawaishi kwenye mashimoMkuu hawa nashindwa kuwatofautisha na wale wadudu waharibifu wa mimea pindi ikiwa michanga/teke, wana tabia ya kujificha chini kwenye madongo nyakati za asbh b4 jua kuchomoza ukiwashtua tu wanarukaruka kwa kusambaa!!
Nyakati za ujana wangu nilikuwa nawafakamia sana senene na kumbikumbi! lakini siku hizi baada ya kuota kitambi salaleeh nikila domo linajaa mate mepesi kama mang'ati aliyetafuna tumbaku na magadi...!! yaani lazima nirudishe chenji fasta!!
Cricket na kumbi kumbi radha ni sawa kabisa mkuu, hawatofautianiHao wadogo waharibifu wa mimea michanga wanaitwa mole cricket. Wanakata miche michanga.
Sasa wapo wakubwa sana kama dole gumba hawana vurugu ni hao anaowasema mdau kama sikosei.
Senene sijawahi kula ila kumbikumbi hata sasa wakati naandika vijana wamekamata wengi usiku uliopita wanakaanga ni watamu balaa.
Siku chache zilizopita walikamata wa kujaa roba la 50kg, tumekula hadi kuwachoka tunawatupia samaki.
Kwetu twawaita Njelemba...Yaani umewapa jina zuri kumbe NGALAVI
Babu zetu pia walikula hii kabla ya ujio wa vitu kama mahindi, na hizi nafaka zingine, au hukusoma Historia, Hahaa mimi sio fala kuwazalisha mkuuWazungu wa kila basi ni halali
Mimi sio mninga kuwafuga, nina zalisha kuku, nina ndege aina zote unazungumzia ubahiri upi?Kuna ubahili unaweza kupelekea kuharisha hadi utumbo eti unasaka protein ya bei chee
Wewe utakuwa unatoka mkoa wa Lindi hasa kwa wamwera wanawaita hivyo.Kwetu twawaita Njelemba...
Huyu jamaa kakulia mjini..sisi WA vijijini twawajua vzr
Kwani unaposema vyakula, wadudu hawamo? Senene je? Kumbikumbi je? Kule kwetu kuna LIKUNGU, nao je?Vyakula vimeisha mpaka uanze kula wadudu 😳😳😳