Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sungura ni kitoweoa kwa sisi tulio kaaa vijijini tumewinda sana sungura, sungura wana nyama nzuri hata kuzidi kuku, shida ni Exposurw inawasumbua plua ujinga wa kuzania ni ujanjaHivi ile biashara ya sungura iliishia wapi? Motivational speakers wanasumbua sana
Sungura pori ndo watam. Hawa wa kizungu hakuna kila kitu.Sungura ni kitoweoa kwa sisi tulio kaaa vijijini tumewinda sana sungura, sungura wana nyama nzuri hata kuzidi kuku, shida ni Exposurw inawasumbua plua ujinga wa kuzania ni ujanja
YaSungura ni kitoweoa kwa sisi tulio kaaa vijijini tumewinda sana sungura, sungura wana nyama nzuri hata kuzidi kuku, shida ni Exposurw inawasumbua plua ujinga wa kuzania ni ujanja
Ok sawa mkuutupe hatua kwa hatua wanavyofugwa, banda liko vipi, wanazaliana vipi, chakula chao na magonjwa,
Umeandika fact mkuuHizi project za ubunifu wabongo hawawezi sumbua kichwa, waambie ishu za ngono au kuajiriwa. Mtu yupo radhi kuuza mda wake kiwandani kwa muhindi kwa masaa 12 kwa siku, kwa malipo ya sh elf 5.
Na sio kutoka nje ya mji akatafuta nusu eka akafuga kuku wa kienyeji. Akidream kuwa mfugaji Mkubwa mbeleni.
Kaa porini
1.Tengeneza mkaa wa nyasi
2.Fuga cricket, soldier fly, mende, nyuki kama chakula cha kuku.
3.Fuga kuku, ndege, nk
Smartphone ni darasa tosha na sio ya kutazamia ngono.
Uhitaji kwenda shule wala chuo ukiwa na dream . Google is everything. Google ni Mwalimu Tosha.
Hawa wanakula majani,na some time pumba ya mahindi, ila saba majani majaniUnawalisha chakula gani
Majani mabichi au makavu, na ni aina yote ya majani?Hawa wanakula majani,na some time pumba ya mahindi, ila saba majani majani
Mabichi hapana sio aina zore, majani laini kama wanayo kula sunguraMajani mabichi au makavu, na ni aina yote ya majani?
Ni vema ukasoma na kuelewa hawa sio Nzi hata kidogo, Jifunze hata kwa ndugu wetu wahaya na seneneHii ni jamii ya inzi wakubwa. Yani unataka kutulisha inzi kwa propaganda zako uchwara.
Mkojo upi?😂😂😂😆😝 ngoja nikakojoe kwanza mkuu
Madudu makubwa unashika bila shida na kulilia juu, unaogopaje hv vidudu vidogo?Duh mi hawa wadudu hata kuwagusa tu siwezi