Nimeanza kuzalisha Cricket Insects kwa matumizi yangu tu

Nimeanza kuzalisha Cricket Insects kwa matumizi yangu tu

Hakuna mdudu asiyeliwa duniani.
Ni mazoea tu na tamaduni
 
Mkuu kuna Fund ilitoleaaga Tanzania kwa ajili ya wale Black Soldie Fly Watanzania tukawa hatutaki tunaona kinyaa, fund wakaja pewa Wazungu wakaanzisha shamba Mkulanga, wamepiga pesa balaaa fikiria walipeaa Dolla million 3, nilipewaga hii habari niliumia sana, na wazungu mbaya zaidi waliendelea pia kuwa suppoted hata baafa ya kupewa hizo Million 3 USD.

Watanzania wanapenda wabanane wote kwenye ishu moja na ni ile ya kufurahishana yaani mimi nifanya kile amnacho kitafurahisha wengi
Kwa kenya huko vipi mkoje labda
 
Niameanza zalisha Cricket Insects kwa matumizi yangu ya kula tu, kwa kuanzia, Cricket ni moja ya Edble Insects na Asia wanaliwa sana ikiwa na pamoja na ku export Ulaya.

Cricket kwa radha ni sawa na Senene, au kumbikumbi walivyo na wote ni jamii moja.

Sasa nilipata mbegu Kenya nimeanza zalisha kwa matumizi yangu ambapo nakuwa nawakausha nasaga na ule unga wake nachanganya kwenye unga wa ngano kwa ajili ya kutengeneza mandazi au Chapati.

Ila kwa baadae sana unga wake nitawasaidia jamii ya watu wenye Watoto wenye utapia mloa hasa wawe wanachanganya kwenye unga wa uji na kuwapikia watoto.

Cricket wana Protein kari sana na pia wana Amino acid zote ndio pekee unaweza pata amino acid zote.

Unaweza zalisha kwa ajili ya kulishia mifugo ila kwangu naona ni hasara sana kuwalishia mifugo.

View attachment 2481278View attachment 2481280View attachment 2481281View attachment 2481282View attachment 2481283View attachment 2481285
Hii ni feature business nzuri sana tena sana take it from me
 
Wazungu baada ya kuona wame mess up sana hasa kwenye vyakula sasa wamegeukiwa Insext kwa speed kubwa sana, kula Insects si kwamba vyakula vimeisha, kwani Senene kule bukoba ndio chakula kikuu? hii ni Protein salama mkuu vyakula kama ugari na kadhalika tutaendelea kula
Thailand wana Export sana crickets insects kwenda Ulaya na mbaya zaidi hawana competitor, mkuu hii ni feature business nzuri sana
 
Zinaua mkuu? Siwafugii ndani ninako lala, ni nje na sio muda wote wanapiga kelele na kuna sabanu zake za kupiga kelele ukiwasikia usiku wanapiga kelee wana sababu so utashangaa banadani wako kimya
Ooh sasa hapo umenifungua, kwa kuwa naangalia sana documentary
Basi utakuta wanapopiga kelele nje wanaitana dume na jike

Sasa kama umewaweka pamoja hawana haja ya kuitana maana wanaonana hapo hapo
Sauti haziuwi mkuu
 
Mkuu kuna Fund ilitoleaaga Tanzania kwa ajili ya wale Black Soldie Fly Watanzania tukawa hatutaki tunaona kinyaa, fund wakaja pewa Wazungu wakaanzisha shamba Mkulanga, wamepiga pesa balaaa fikiria walipeaa Dolla million 3, nilipewaga hii habari niliumia sana, na wazungu mbaya zaidi waliendelea pia kuwa suppoted hata baafa ya kupewa hizo Million 3 USD.

Watanzania wanapenda wabanane wote kwenye ishu moja na ni ile ya kufurahishana yaani mimi nifanya kile amnacho kitafurahisha wengi
Hebu angalia fursa kama hizo
Pole sana
Inabidi uwe unafuatilia kwenye blog zao na balozi zao kila wakati na kusoma journal zao
Fursa zipo nyingi sana ila wabongo huwa wanataka njia za mkato apate kazi aibe basi
 
Back
Top Bottom