Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kenya huko vipi mkoje labdaMkuu kuna Fund ilitoleaaga Tanzania kwa ajili ya wale Black Soldie Fly Watanzania tukawa hatutaki tunaona kinyaa, fund wakaja pewa Wazungu wakaanzisha shamba Mkulanga, wamepiga pesa balaaa fikiria walipeaa Dolla million 3, nilipewaga hii habari niliumia sana, na wazungu mbaya zaidi waliendelea pia kuwa suppoted hata baafa ya kupewa hizo Million 3 USD.
Watanzania wanapenda wabanane wote kwenye ishu moja na ni ile ya kufurahishana yaani mimi nifanya kile amnacho kitafurahisha wengi
Utakuwa kwenu maeneo yanayo karibia ziwa Nyasa.Kwani unaposema vyakula, wadudu hawamo? Senene je? Kumbikumbi je? Kule kwetu kuna LIKUNGU, nao je?
Au wewe kwako chukula ni wali maharage tu?
Hujakosea, KUGAPA..!!Utakuwa kwenu maeneo yanayo karibia ziwa Nyasa.
Hii ni feature business nzuri sana tena sana take it from meNiameanza zalisha Cricket Insects kwa matumizi yangu ya kula tu, kwa kuanzia, Cricket ni moja ya Edble Insects na Asia wanaliwa sana ikiwa na pamoja na ku export Ulaya.
Cricket kwa radha ni sawa na Senene, au kumbikumbi walivyo na wote ni jamii moja.
Sasa nilipata mbegu Kenya nimeanza zalisha kwa matumizi yangu ambapo nakuwa nawakausha nasaga na ule unga wake nachanganya kwenye unga wa ngano kwa ajili ya kutengeneza mandazi au Chapati.
Ila kwa baadae sana unga wake nitawasaidia jamii ya watu wenye Watoto wenye utapia mloa hasa wawe wanachanganya kwenye unga wa uji na kuwapikia watoto.
Cricket wana Protein kari sana na pia wana Amino acid zote ndio pekee unaweza pata amino acid zote.
Unaweza zalisha kwa ajili ya kulishia mifugo ila kwangu naona ni hasara sana kuwalishia mifugo.
View attachment 2481278View attachment 2481280View attachment 2481281View attachment 2481282View attachment 2481283View attachment 2481285
Uko ilimwengu wa kishamba sana, kwa tunako elekea swala la health food ni mihimu sanaVyakula vimeisha mpaka uanze kula wadudu [emoji15][emoji15][emoji15]
Thailand wana Export sana crickets insects kwenda Ulaya na mbaya zaidi hawana competitor, mkuu hii ni feature business nzuri sanaWazungu baada ya kuona wame mess up sana hasa kwenye vyakula sasa wamegeukiwa Insext kwa speed kubwa sana, kula Insects si kwamba vyakula vimeisha, kwani Senene kule bukoba ndio chakula kikuu? hii ni Protein salama mkuu vyakula kama ugari na kadhalika tutaendelea kula
Hawa ni jamii ya senene ni mtu na mjomba tuKuna jamaa alinambia ni watamu kuzidi nyama aisee nilimcheki nikaona huyu jamaa hajui mnyumbuliko wa nyama kinywani vizuri
Ila vyakula vinavyo pigwa pia hugusi?Duh mi hawa wadudu hata kuwagusa tu siwezi
Hapana kuna sumu, na kuna edble insects hawa edble ndio wanao liwa, wadudu salamaHakuna mdudu asiyeliwa duniani.
Ni mazoea tu na tamaduni
huyu chakula anacho jua ni Ugari, maharagwe na mandazi labda na chipsKwani unaposema vyakula, wadudu hawamo? Senene je? Kumbikumbi je? Kule kwetu kuna LIKUNGU, nao je?
Au wewe kwako chukula ni wali maharage tu?
Mkojo mkubwa au mdogo mkuu?😂😂😂😆😝 ngoja nikakojoe kwanza mkuu
😂😂😂🙌Mkojo mkubwa au mdogo mkuu?
Ooh sasa hapo umenifungua, kwa kuwa naangalia sana documentaryZinaua mkuu? Siwafugii ndani ninako lala, ni nje na sio muda wote wanapiga kelele na kuna sabanu zake za kupiga kelele ukiwasikia usiku wanapiga kelee wana sababu so utashangaa banadani wako kimya
Hebu angalia fursa kama hizoMkuu kuna Fund ilitoleaaga Tanzania kwa ajili ya wale Black Soldie Fly Watanzania tukawa hatutaki tunaona kinyaa, fund wakaja pewa Wazungu wakaanzisha shamba Mkulanga, wamepiga pesa balaaa fikiria walipeaa Dolla million 3, nilipewaga hii habari niliumia sana, na wazungu mbaya zaidi waliendelea pia kuwa suppoted hata baafa ya kupewa hizo Million 3 USD.
Watanzania wanapenda wabanane wote kwenye ishu moja na ni ile ya kufurahishana yaani mimi nifanya kile amnacho kitafurahisha wengi
Hivi imeshinddikana kabisa kufuga senene?