Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pace ya ngap mkuu? Karibu Kigamboni tarehe 17 June tunafanya running ya usiku ku break the record kwa 3 digits (Km 100) hope nitatoboa hata 50kms....Sasa hivi napiga 21km kama nakunywa maji!
Mmeanza na lugha zenu za riadha imebidi nipata msaada wa google, hivi pace ni nini ndugu mdau? ila nime-gugo ni kama dakika unazotumia katika umbali flani lets 6 minutes in 1 mile (ni sahihi kama nilivyoelewa kwa msaada wa google)Pace yangu ni 6, 100km nyingi sana siwezi.
Sawa kabisa!Mmeanza na lugha zenu za riadha imebidi nipata msaada wa google, hivi pace ni nini ndugu mdau? ila nime-gugo ni kama dakika unazotumia katika umbali flani lets 6 minutes in 1 mile (ni sahihi kama nilivyoelewa kwa msaada wa google)
No, Long run yyt is not about pace... msingi ni kubreak personal record hata kama ni kwa kutambaa!!Pace yangu ni 6, 100km nyingi sana siwezi.
Ahsante kiongozi maana ilibidi niende google ili mkija kuweka record sawa nakuwa nimeelewa vizuri, shukrani kwa misamiati mipyaSawa kabisa!
Pia chukua misamiati ifuatayo;
1.Kudos- Well done, Good attempt
2. PR- personal records
3. Ki-bus group la watu zaidi mmoja wanaokimbia kwa pace inayofanana kwa umbali fulani
4. Charu-Kimbia
5.Strava- application inayotumika kutunza taarifa za mazoezi!!
#Run4fun
#Run4health
Karibu kwenye ulimwengu wa mbio!!!
Uko sawa ila kwetu ni dakika/km. Mwenye namba ndogo ndio mwenye Kasi kubwa.Mmeanza na lugha zenu za riadha imebidi nipata msaada wa google, hivi pace ni nini ndugu mdau? ila nime-gugo ni kama dakika unazotumia katika umbali flani lets 6 minutes in 1 mile (ni sahihi kama nilivyoelewa kwa msaada wa google)
Uta grow tu mkuu, nakumbuka mm pia it was the same but kidogokidogo nikakuwa hadi nimefika 43kms but this year nataka nitoboe zaidi!!!21km ndio mwisho wangu mkuu
Okay mkuu, tunafanya ku-convert tu hapo 6 minutes in 1.6 kilometre...shukraniUko sawa ila kwetu ni dakika/km. Mwenye namba ndogo ndio mwenye Kasi kubwa.
Mie kwa Watanzania wanaopenda kutembea na mimi naweza kuwemo kwenye list.Sema watu wenye miili hata ukiangalia mambo Yao ndomana mna miili. The way I do everyday things from simply walking to daily housechores unaona kabisa natumia nguvu/speed, zoezi tosha.
Sasa sijajua "kupenda kutembea" umemaanisha nini, I don't go walking long distances for no reason 😅 , kwani bodaboda bei gani!Mie kwa Watanzania wanaopenda kutembea na mimi naweza kuwemo kwenye list.
ANGALIZO: Kwa Watanzania wanaoishi mjini maana kijijini kutembea ni issue ya kawaida
Mkuu uzi si unazungumzia mazoezi? na sio shida ya nauli ya bodaboda na comment yako #513 ndo ikanifanya niweke msisitizo wa sie wazee wa kutembea which means kwa maeneo nayoyamudu na ratiba inaruhusu mara nyingi naamua kutembea. Ndio maana nikasema napenda kutembea kama sehemu ya mazoezi na wala sio lazima iwe long distance. (sometimes vipande vidogo vidogo kutoka point A kwenda B alafu unaendelea na other means of transport).Sasa sijajua "kupenda kutembea" umemaanisha nini, I don't go walking long distances for no reason 😅 , kwani bodaboda bei gani!
Sema there's no hurry in Africa aisee, watu wanavyotembea!!
@PRONDO wenzangu simu mnawekaje wakati mnakimbia maana Mimi nikienda umbali Fulani hilo jashooooo ,mhm mnawekajeUta grow tu mkuu, nakumbuka mm pia it was the same but kidogokidogo nikakuwa hadi nimefika 43kms but this year nataka nitoboe zaidi!!!
Kuna arm bag au beg ya kufunga kiunoni ni vibeg vidogo vina water proof, vinapatikana mtumbani au kwenye maduka ya vifaa vya michezo.@PRONDO wenzangu simu mnawekaje wakati mnakimbia maana Mimi nikienda umbali Fulani hilo jashooooo ,mhm mnawekaje