Beach gani mkuu unipitieMie baada ya kuacha mazoezi kwa muda mrefu karibia mwaka na nusu au zaid, sababu ya goti, sasa nimeanza upya nina siku mbili, nashuka zangu bichi nakimbia mchangani, nakula round zangu za kutosha kwa kuanzia napiga asubuhi baada ya wiki kesho ntakuwa napiga asubuhi na jioni, japo leo nahisi kma maumivu hivi kwenye goti na ule mzunguko wa mkunjo wa goti.
Ahahaaa sawa bnaKama mchagga?
Pamoja mkuu japo sidhani kama nitarudi kule nilipokuwa..Mdogo mdogo uta recover...
Nawewe ni bonge? Kula mbogamboga na matunda kwa wingi plus maji ya kutosha punguza wanga usisahau mazoezi.[emoji23] [emoji23] mwenza nishirikishe hiyo diet yako nione kama nitaiweza
Kijiji beach to south beach kwa mbele kwenye mkondo.Beach gani mkuu unipitie
Unakiimbia sehemu gani mkuu!?Ujinga wa mazoezi ya kukimbia mara nyingi una loose muscles badala ya fat body...haya mazoezi ni sahihi sana kwa wadada...mazoezi mazuri kwa wanaume ni push up,squat,kichurachura,baiskeli na kutembea mda mrefu,binafsi nkipigaga push up mwili unakuja lakini nikianza kukimbia nakonda napoteza muscles na fatbody wakati target yangu kubwa ni kuloose fatbody...
Haya kimbieni hukoKumbe mkazi mwenzangu wa south beach...
Ukikimbia sana una lose weight ni kweli. Mimi nitaacha nikishapata fitness ya kurudi kwenye bball court ila push ups siachi zinanipa strength na good upper body.Ujinga wa mazoezi ya kukimbia mara nyingi una loose muscles badala ya fat body...haya mazoezi ni sahihi sana kwa wadada...mazoezi mazuri kwa wanaume ni push up,squat,kichurachura,baiskeli na kutembea mda mrefu,binafsi nkipigaga push up mwili unakuja lakini nikianza kukimbia nakonda napoteza muscles na fatbody wakati target yangu kubwa ni kuloose fatbody...
Unajua ni vyema wakati mwengine tukawa wakweli tu.,chuma kimekaza mkuu,hela ya kaunta imekata lazima ugeukie mambo mbadala. Hata usingefanya hayo mazoezi lazima ungekuwa fit tu. Hahahaaaaa....eti mazoezi......loooh? Funguka kaka.,kianzio kimekataMwaka huu nimejiwekea lengo la kuwa FIT. Nimeanza mwaka kwa mazoezi sasa hivi namaliza mwezi najisikia vizuri sana. Mazoezi sio lazima uende Gym. Hata chumbani au nje ya nyumba yako unaweza kufanya mazoezi.
Kama mimi asubuhi(siku tano kwa wiki) nakimbia(jogging) kwa muda wa nusu saa kila siku kuzunguka eneo dogo tu nje ya nyumba. Jioni napiga push ups 300 siku tano kwa wiki. Hizi push ups napiga 30 mkupuo mmoja, zoezi zima huwa linachukua nusu saa.
Jogging inasaidia kuimarisha misuli ya miguu na kuimarisha moyo wakati push ups zinanisaidia kuimarisha misuli ya mikono na kiwiliwili kwa jumla. Huna haja ya kubeba machuma ili uwe fit. Jogging,sit ups,push ups zinatosha kukufanya uwe fit.
Hapo sawa ...mi napiga push mia kila siku ila naanza na 50 badae nakuja 30 badae 20,ingawa saivi napanda..51/30/20,52/30/20,53/30/20 nataka nifike 70/30/20.Ukikimbia sana una lose weight ni kweli. Mimi nitaacha nikishapata fitness ya kurudi kwenye bball court ila push ups siachi zinanipa strength na good upper body.
Ha ha ha...naboresha afyaUnajua ni vyema wakati mwengine tukawa wakweli tu.,chuma kimekaza mkuu,hela ya kaunta imekata lazima ugeukie mambo mbadala. Hata usingefanya hayo mazoezi lazima ungekuwa fit tu. Hahahaaaaa....eti mazoezi......loooh? Funguka kaka.,kianzio kimekata