Tutaandaa JF Marathonni wazo zuri mkuu pia utafiti unaonyesha mtu anaefanya mazoezi japo dakika 15 ndani ya masaa 24 ni ngumu sana kuja kupatwa ugonjwa wa akili, hii ni moja kati ya faida tele za mazoezi
kwa hiyo tuhamasishane wana jf kufanya mazoezi ili yasije kutupata yaliowapata kina nabii tito na deo kisandu
pia napenda mazoezi sababu kitandani unakuwa extra ordinary heshima ya nyumba inakuwepo
endelea kupiga tizi mkuu
sure wacheki mods mkuu itapendeza japo mara 1 kwa mweziTutaandaa JF Marathon
ni kweli afu ukizingatia humu inaonekana wengi wana vitambiMkuu Marathon si mchezo, mara moja kwa mwaka sio mwezi.
Kukaza tu..Hata mimi sijarudi nilipokuwa, ila nashukuru nilipo kwasasa.
Na wewe ni wa maeneo haya nini!?Kumbe mkazi mwenzangu wa south beach...
Eee[emoji13]Kama mchagga?
Aisee natamani nifanye hivyo ngoja nijitahidiNawewe ni bonge? Kula mbogamboga na matunda kwa wingi plus maji ya kutosha punguza wanga usisahau mazoezi.
Kwa nini mkuu
Haya mkuuSijawahi kuwa serious kwenye mazoezi, ili nifanye uwanjani natoka na gari naenda uwanja wa shule labda.
Ila kutoka kwangu nakimbia barabarani no.
Mweza diet basi unadhan maana nikiona wali naonja kijiko kimoja.[emoji23] [emoji23] mwenza nishirikishe hiyo diet yako nione kama nitaiweza
mimi tangu aprili mwaka jana nilishaamua nitaanza mazoezi kesho...
kesho kwangu haijafika bado!
ni wazo zuri mkuu pia utafiti unaonyesha mtu anaefanya mazoezi japo dakika 15 ndani ya masaa 24 ni ngumu sana kuja kupatwa ugonjwa wa akili, hii ni moja kati ya faida tele za mazoezi
kwa hiyo tuhamasishane wana jf kufanya mazoezi ili yasije kutupata yaliowapata kina nabii tito na deo kisandu
pia napenda mazoezi sababu kitandani unakuwa extra ordinary heshima ya nyumba inakuwepo
endelea kupiga tizi mkuu
😳hii haiwezi kukuletea vidonda vya tumbo kweli?Mweza diet basi unadhan maana nikiona wali naonja kijiko kimoja.
Leo nimekunywa kahawa bila sukari na yai moja asubuhi. Mchana nyama ya kuchoma na ndizi moja. Usiku hapa saa hizi sili mpaka kesho tena asubuhi.
Labda nivitibue maana vipo.😳hii haiwezi kukuletea vidonda vya tumbo kweli?
Daah ngoja na mie nijaribu ila bila ubwabwa nitasavaivu kweli?Mweza diet basi unadhan maana nikiona wali naonja kijiko kimoja.
Leo nimekunywa kahawa bila sukari na yai moja asubuhi. Mchana nyama ya kuchoma na ndizi moja. Usiku hapa saa hizi sili mpaka kesho tena asubuhi.
Jitahidi tu mwenza. Tupungue kidogi halafu tuanze kula ubwabwa kwa raha zetu. Mtu atakaeniwekea ubwabwa na samaki wa nazi naweza msomea albadir kwa kunirudisha nyumaDaah ngoja na mie nijaribu ila bila ubwabwa nitasavaivu kweli?