Nimeanza Mwaka kwa Mazoezi

Nimeanza Mwaka kwa Mazoezi

Duuh kweli tuko tofauti, basi mi nikipiga zoezi ndo appetite ya kumwaga, sema huwa najicontrol kula, vinginevyo ndo nazidi kuumuka
Hujanisoma vizuri au?! Hata mimi nikifanya mazoezi ndio nakula sana kwahio mwili unaongezeka vizuri, nisipofanya mazoezi naweza kula mara moja kwa siku tu.
 
Mwaka huu nimejiwekea lengo la kuwa FIT. Nimeanza mwaka kwa mazoezi sasa hivi namaliza mwezi najisikia vizuri sana. Mazoezi sio lazima uende Gym. Hata chumbani au nje ya nyumba yako unaweza kufanya mazoezi.

Kama mimi asubuhi(siku tano kwa wiki) nakimbia(jogging) kwa muda wa nusu saa kila siku kuzunguka eneo dogo tu nje ya nyumba. Jioni napiga push ups 300 siku tano kwa wiki. Hizi push ups napiga 30 mkupuo mmoja, zoezi zima huwa linachukua nusu saa.

Jogging inasaidia kuimarisha misuli ya miguu na kuimarisha moyo wakati push ups zinanisaidia kuimarisha misuli ya mikono na kiwiliwili kwa jumla. Huna haja ya kubeba machuma ili uwe fit. Jogging,sit ups,push ups zinatosha kukufanya uwe fit.
Nilianza jogging,planking na push ups lakini nimejikuta nimeacha bila sababu ya msingi.
 
Mwaka huu nimejiwekea lengo la kuwa FIT. Nimeanza mwaka kwa mazoezi sasa hivi namaliza mwezi najisikia vizuri sana. Mazoezi sio lazima uende Gym. Hata chumbani au nje ya nyumba yako unaweza kufanya mazoezi.

Kama mimi asubuhi(siku tano kwa wiki) nakimbia(jogging) kwa muda wa nusu saa kila siku kuzunguka eneo dogo tu nje ya nyumba. Jioni napiga push ups 300 siku tano kwa wiki. Hizi push ups napiga 30 mkupuo mmoja, zoezi zima huwa linachukua nusu saa.

Jogging inasaidia kuimarisha misuli ya miguu na kuimarisha moyo wakati push ups zinanisaidia kuimarisha misuli ya mikono na kiwiliwili kwa jumla. Huna haja ya kubeba machuma ili uwe fit. Jogging,sit ups,push ups zinatosha kukufanya uwe fit.
Safi sana,
Ongezea kuruka kamba mkuu. Kwa kweli mazoezi ni dawa tosha, sikumbuki mara ya mwisho kuumwa ni lini.
Mtu unatakiwa ufanye zoezi na uwe na nidhamu na maisha, yaani anasa weka kando.
 
Back
Top Bottom