Nimeanza Mwaka kwa Mazoezi

Nimeanza Mwaka kwa Mazoezi

Natamani sana kumaliza hata half marathon moja kabla sijafa. Unaweza kunipa maandalizi ya half marathon?
Maandalizi ya half Marathon inajumuisha mambo kadhaa.

Hapa nitakupa maandalizi ambayo naamini yatakusaidia. Pia hapa sikupi professional advice maana mimi si professional runner. Ni experience binafsi.

1. Jipe muda wa maandalizi kati ya wiki 5 hadi 10.

Hapa namaanisha utakuwa unakimbia more than 8kms kila weekend. Weekdays usikimbie acha muscles zipone. Maana kwa mtu anayeanza 8kms si mchezo miguu lazima itauma.

2. Fanya cardio workout kuimarisha misuli ya tumbo.

Hii muhimu sana. Misuli ya tumbo isipokuwa strong utapatwa na kichomi ukikimbia umbali mrefu. Fanya mazoezi ya kuimarisha tumbo weekdays wakati unaendelea ku-recover kwenye 8kms ulizokimbia weekend.

3. Fanya mazoezi ya kuimarisha pumzi yako (kuogelea)

Hapa kama una access na swimming pool inakuwa poa zaidi.

Mimi sina swimming pool nyumbani lakini kuna sehemu yakaribu huwa naenda kwaajili ya kuongelea. Imenisaidia sana kuimarisha pumzi yangu.

Lakini kama hauna access na swimming pool unaweza uka skip tu.

4. Siku utakayopanga kukimbia half Marathon kula vizuri.

Namaanisha siku hiyo kula matunda na mbogamboga kwa wingi. Ukiweza acha kutumia diary products siku nzima.

Nyama, maziwa, mayai, cheese na product za wanyama zitakufanya uchoke mapema. Eat ital

Pia kumbuka kupata msosi at least one hrs before.
 
Maandalizi ya half Marathon inajumuisha mambo kadhaa.

Hapa nitakupa maandalizi ambayo naamini yatakusaidia. Pia hapa sikupi professional advice maana mimi si professional runner. Ni experience binafsi.

1. Jipe muda wa maandalizi kati ya wiki 5 hadi 10.

Hapa namaanisha utakuwa unakimbia more than 8kms kila weekend. Weekdays usikimbie acha muscles zipone. Maana kwa mtu anayeanza 8kms si mchezo miguu lazima itauma.

2. Fanya cardio workout kuimarisha misuli ya tumbo.

Hii muhimu sana. Misuli ya tumbo isipokuwa strong utapatwa na kichomi ukikimbia umbali mrefu. Fanya mazoezi ya kuimarisha tumbo weekdays wakati unaendelea ku-recover kwenye 8kms ulizokimbia weekend.

3. Fanya mazoezi ya kuimarisha pumzi yako (kuogelea)

Hapa kama una access na swimming pool inakuwa poa zaidi.

Mimi sina swimming pool nyumbani lakini kuna sehemu yakaribu huwa naenda kwaajili ya kuongelea. Imenisaidia sana kuimarisha pumzi yangu.

Lakini kama hauna access na swimming pool unaweza uka skip tu.

4. Siku utakayopanga kukimbia half Marathon kula vizuri.

Namaanisha siku hiyo kula matunda na mbogamboga kwa wingi. Ukiweza acha kutumia diary products siku nzima.

Nyama, maziwa, mayai, cheese na product za wanyama zitakufanya uchoke mapema. Eat ital

Pia kumbuka kupata msosi at least one hrs before.
Nitajaribu.
 
Mie baada ya kuacha mazoezi kwa muda mrefu karibia mwaka na nusu au zaid, sababu ya goti, sasa nimeanza upya nina siku mbili, nashuka zangu bichi nakimbia mchangani, nakula round zangu za kutosha kwa kuanzia napiga asubuhi baada ya wiki kesho ntakuwa napiga asubuhi na jioni, japo leo nahisi kma maumivu hivi kwenye goti na ule mzunguko wa mkunjo wa goti.
 
Mie baada ya kuacha mazoezi kwa muda mrefu karibia mwaka na nusu au zaid, sababu ya goti, sasa nimeanza upya nina siku mbili, nashuka zangu bichi nakimbia mchangani, nakula round zangu za kutosha kwa kuanzia napiga asubuhi baada ya wiki kesho ntakuwa napiga asubuhi na jioni, japo leo nahisi kma maumivu hivi kwenye goti na ule mzunguko wa mkunjo wa goti.
Mdogo mdogo uta recover...
 
Back
Top Bottom