Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha...umenifraisha,sana..nao,wahenga..wana..shida,zao..bhana.Kuna binadamu humu aliandika kua watu wa zaman waliishi miaka mpaka1500 na walikua hawafanyi mazoezi akadai et..... kufanya mazoezi ni kuuchosha mwili na inapelekea kufa mapema, ndo maana watu wa siku hizi wanakufa na umri mdogo.
Akaenda mbal zaid akasema et ni bora tuitulze miili yetu tuachane na mazoezi, kufanya hivyo ni kupoteza muda.
Binafsi naamini mazoez ndio uhai wa mwili wa mtu na mazoezi sio lazima kunyanyua uzito mkubwa,
Diet si jambo dogo. Najitahidi kutokula usiku ila ikifika saa mbili nasiki njaa kama nimetoka somalia.
Ndio inambidi apate wakishua mwenzie huko huko..Wakishua huyo hawezi kuja huko....
mimi tangu aprili mwaka jana nilishaamua nitaanza mazoezi kesho...
kesho kwangu haijafika bado!
Wewe unaanza lini au unaendeleza?
Still working out at the gym. Until I hit my target. Then I.can maintain on my own.Mwanzoni...sasa hivi?
kweli kabisa...kesho nitaanza rasmi🙂Hahaha!, unatakiwa kuanza muda huo huo unaopanga ili usiendelee kupanga.
Nyuma ya Uwanja wa Taifa karibu na mataaKwa wapi??
Okay. Ndo mitaa nilipoNyuma ya Uwanja wa Taifa karibu na mataa
Mlango wa kuingilia uwanja wa basketi, kwenye ile service road