Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani dirisha la application limeshafunguliwa? Nipe link.Nimeapply clinical medicine kibaha, nafasi Kwa wanaume ziko 24. Tulioomba ni 1800 plus. Nina point 6 kwenye PCB, je nitapata kweli?
Achungulie kozi zingine asing'ang'anie CO pekee yake.CCC hutachukuliwa.... Wanachaguliwa dv 1 wenye min B kwenye phy, math, chem, bios nk
Kwanini asiende Private. Clinical Medicine kuna vyuo vinazidi Kibaha huko DarAchungulie kozi zingine asing'ang'anie CO pekee yake.
Kama ana uwezo aende.Kwanini asiende Private. Clinical Medicine kuna vyuo vinazidi Kibaha huko Dar
Tunamkaribisha sana kwetu.Kwanini asiende Private. Clinical Medicine kuna vyuo vinazidi Kibaha huko Dar
Una uhakika!Amechagua umaskini.
Apply vyuo vingine haswa vya private, soma semester moja, hakikisha unafauli vizuri mitihani yako ya mwisho bila sup, semester inayofuata omba uhamisho uende hapo kibaha.Nimeapply clinical medicine kibaha, nafasi Kwa wanaume ziko 24. Tulioomba ni 1800 plus. Nina point 6 kwenye PCB, je nitapata kweli?
Hivi Unajua mazingira ya KibahaApply vyuo vingine haswa vya private, soma semester moja, hakikisha unafauli vizuri mitihani yako ya mwisho bila sup, semester inayofuata omba uhamisho uende hapo kibaha.
Wanalipwa bei gani? Wamejaa sasa hvi kila mahala. Ni waoga wa kutafuta ela ndio wanakimbilia huko. Nchi kama Tanzania kazi ngumungumu hazilipi. Ni patapotea. Nitajie matajiri wa maana waliosoma hiyo takataka !Una uhakika!
Acha kuwakatisha tamaa watoto.Hivi Unajua mazingira ya Kibaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu, khaaaahAcha kuwakatisha tamaa watoto.
Waache wasome wanapopatamani kusoma na sio hivyo vyuo vyenu uchwara.
Nakushukuru kwa maoni yako, lakini kama chuo kinatoa first class zaidi ya asilimia 70 siamini hilo neno ni pakeAcha kuwakatisha tamaa watoto.
Waache wasome wanapopatamani kusoma na sio hivyo vyuo vyenu uchwara.
Kawaida, watu hupenda ku generalise ila akifika Mbweni atakubali kuwa si Uchwara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu, khaaaah