Nimeapply clinical medicine. Je naweza nikachaguliwa Kwa completion hii?

Nimeapply clinical medicine. Je naweza nikachaguliwa Kwa completion hii?

Ningekua wewe honestly nisingeenda kusoma hiyo. Kuna biomedical engineering, vile vioptometry, na vikozi vingine vingine vidogo vidogo ambavyo still vina market. COs wapo kama wote na demand yao ni ndogo sana
 
Ningekua wewe honestly nisingeenda kusoma hiyo. Kuna biomedical engineering, vile vioptometry, na vikozi vingine vingine vidogo vidogo ambavyo still vina market. COs wapo kama wote na demand yao ni ndogo sana
Huu ushauri wengi hawautaki wakimaliza utawakuta mtaani wanalipwa buku 7-10 wakati wenzao wenye dip wananyenyekewa na kupewa shavu fasta.
 
Huu ushauri wengi hawautaki wakimaliza utawakuta mtaani wanalipwa buku 7-10 wakati wenzao wenye dip wananyenyekewa na kupewa shavu fasta.
Badae ndo huwa wanaanza kujutia sijui wanaona sifa kuvaa yale makot meupe
 
Ukweli vyuo vya private vingi havina weledi mmeharibu hii kozi matokeo yenu mengi ni ya kutengeneza,mmefanya kozi za afya ni biashara ili kuvutia vijana. Watoto wanahitimu ikiwa shule hamna kabisa kichwani ukikutana nae eneo la kazi majanga makubwa.
Hili limeshakuwa janga la taifa mkuu. Vyuo vya private huwa wanatuma sms kwa wahitimu kwmba umechaguliwa kujiunga na chuo fulani clinical Medicine wakati mtu hata hakuomba, wengi huingia mkenge na kufurahia wanaenda kusoma hiyo course lakini ubora wa elimu bure kabisa. hawa watu serikali isipoangalia wanatuzalishia watu wa hovyo na hospital uchwara za private nazo zinachukua haohao maana ni rahisi kuwamudu kuwalipa hela ndogo
 
Advance haina umuhimu
Kama anauwezo wa kupiga msuli wa uhakika basi aende advance ili apate njia nzuri ya kwenda chuo kikuu kw couse anayoipend ila kama nguvu ya kupiga msuli anajiona ni ndogo basi asithubutu kwenda maana atapoteza muda tu na huenda akaja kurudi tena kutumia cheti cha form 4
 
Badae ndo huwa wanaanza kujutia sijui wanaona sifa kuvaa yale makot meupe
Mimi bwana kuna bro mmoja(tuna ukarinu sana) ni dentist ana maisha kinoma yule mwamba aliwahi nishauri nisome dental au Mionzi kwakua hazina watu nikaadharau na niliikua na wenzangu wa wanne tulienda kuomba ushauri maana kila mmoja alitaka awe daktari. aah nikaona huyu vipi anazingua,mwanangu 1 akaenda Radiolody na mwingine meno na kuna mmoja akaenda zake Civil na Mwingine maswala ya anga.

Baada ya miaka 7 ndo nikaukumbuka ushauri wa yule jamaa maana .

👉Yule wa Radiology now yuko vyede kinoma
👉Yule dentist ana clinic yake sasa hivi yuko fresh
👉Civil yuko Tanroad sasa hivi
👉Yule wa anga yuko jeshini sasa hivi anachukua nyota
👉Mimi niko mtaani napambana kinachoniokoa nimejiongeza nina kijiofisi lakini pengine ningekua naongea peke yangu wakati huu maana sitasahau unaingia kijiwe posho buku 10 na halafu kulipwa ni mpaka upate mgonjwa ndo mambo gai hayo. Na ukienda serikali unapelkwa ndichi huko ukapambane na umaskini.
 
Nimeapply clinical medicine kibaha, nafasi Kwa wanaume ziko 24. Tulioomba ni 1800 plus. Nina point 6 kwenye PCB, je nitapata kweli?
Vyuo vya gvt ni isue huwa wanataka 1 kwanza iyo 6 point ni added adv ambayo inazingatiwa
 
Hili limeshakuwa janga la taifa mkuu. Vyuo vya private huwa wanatuma sms kwa wahitimu kwmba umechaguliwa kujiunga na chuo fulani clinical Medicine wakati mtu hata hakuomba, wengi huingia mkenge na kufurahia wanaenda kusoma hiyo course lakini ubora wa elimu bure kabisa. hawa watu serikali isipoangalia wanatuzalishia watu wa hovyo na hospital uchwara za private nazo zinachukua haohao maana ni rahisi kuwamudu kuwalipa hela ndogo
Chuo kinajiita cha afya hakina hata sehemu ya mafunzo wanategemea kwenda kukodi tena kwa mwaka mara moja na wakifika huko hawalipi walimu watoto wanajiendea tu kama mbuzi hakuna ufuatiliaji wala nini.

Kuna chuo niliwahi kuona mwanafunzi anafanya mtihani wa Nacte katika eneo la kusubiri wagonjwa ndo kapewa mgonjwa achukue history na hakufanya Examination hata moja chap kaenda kupresent na wengine wanaambiwa wakatafute wagonjwa wanaenda hata kwa mtu yeyote anaingia nae then wanamwagwa tu hakuna wasimamizi anapika history yake anaenda kupresent vuluvulu nakumbuka tulilalamika sana kwa wasimamizi wetu walisema wao hayawahusu wandili na mahala walipopangiwa tu.

Wasimamizi wetu walikua hawaruhusu kurudia mgonjwa walikua radhi mtihani ughairishwe au kuhama hospital kutafuta mgonjwa.
 
Nimeapply clinical medicine kibaha, nafasi Kwa wanaume ziko 24. Tulioomba ni 1800 plus. Nina point 6 kwenye PCB, je nitapata kweli?
Kibaha pale ni pata potea ujue ni chuo kinachopendwa sana na kinapokea disco nyingi za MD wanaangalia criteria zao za mwaka huo
Mfano intake yetu tulikuta wale waliokuwa wanaingia second year mpaka 3 rd yr kabla ya hapo ilikuwa inachuka six tu na walikuwa wanasoma 2 yrs

Kwetu mix ilikuwepo ordinary level na advance

Shughuli moja
Hope unaweza chaguliwa lkn elewa hiki kipo chini ya wizara inachagua wizara

Be patient
 
Chuo kinajiita cha afya hakina hata sehemu ya mafunzo wanategemea kwenda kukodi tena kwa mwaka mara moja na wakifika huko hawalipi walimu watoto wanajiendea tu kama mbuzi hakuna ufuatiliaji wala nini.

Kuna chuo niliwahi kuona mwanafunzi anafanya mtihani wa Nacte katika eneo la kusubiri wagonjwa ndo kapewa mgonjwa achukue history na hakufanya Examination hata moja chap kaenda kupresent na wengine wanaambiwa wakatafute wagonjwa wanaenda hata kwa mtu yeyote anaingia nae then wanamwagwa tu hakuna wasimamizi anapika history yake anaenda kupresent vuluvulu nakumbuka tulilalamika sana kwa wasimamizi wetu walisema wao hayawahusu wandili na mahala walipopangiwa tu.

Wasimamizi wetu walikua hawaruhusu kurudia mgonjwa walikua radhi mtihani ughairishwe au kuhama hospital kutafuta mgonjwa.
Medicine ni shule ya kujituma sana la sivyo unatoka kapa au unakuwa unajua theory tu kuiapply kwa mgonjwa ni issue

Wapikaji wapo sana kila sehemu shule yetu ilikuwa strict lkn kuna yanki mmoja alikuwa anapika balaa tena usiku asbh yeye akipangiwa mgonjwa ni kumrivew tu dkk 10 kisha maliza na lizcha ya usimamizi wa vurugu hakuweza kukamatwa kabisa mpaka tunamaliza

Acha kabisa hiyo nayo ni taranta
 
Medicine ni shule ya kujituma sana la sivyo unatoka kapa au unakuwa unajua theory tu kuiapply kwa mgonjwa ni issue

Wapikaji wapo sana kila sehemu shule yetu ilikuwa strict lkn kuna yanki mmoja alikuwa anapika balaa tena usiku asbh yeye akipangiwa mgonjwa ni kumrivew tu dkk 10 kisha maliza na lizcha ya usimamizi wa vurugu hakuweza kukamatwa kabisa mpaka tunamaliza

Acha kabisa hiyo nayo ni taranta
Lakini angalau Gvt kuna nidham huwezi linganisha na huko..
 
Back
Top Bottom