- Thread starter
- #21
CABCCC hutachukuliwa.... Wanachaguliwa dv 1 wenye min B kwenye phy, math, chem, bios nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CABCCC hutachukuliwa.... Wanachaguliwa dv 1 wenye min B kwenye phy, math, chem, bios nk
Nimepata Div 1 point 14¹Kwanini asiende Private. Clinical Medicine kuna vyuo vinazidi Kibaha huko Dar
Tatizo mnaweka mbele mambo ya division na points. Kikubwa ni Ufaulu katika Masomo ya Physics, Chemistry, Biology na English. Kama umepata hizo zote As definitely huwezi kuachwa. Je, una alama ipi katika hayo masomoNime
Nimepata Div 1 point 14¹
Nakushukuru kwa maoni yako, lakini kama chuo kinatoa first class zaidi ya asilimia 70 siamini hilo neno ni
Ukweli vyuo vya private vingi havina weledi mmeharibu hii kozi matokeo yenu mengi ni ya kutengeneza,mmefanya kozi za afya ni biashara ili kuvutia vijana. Watoto wanahitimu ikiwa shule hamna kabisa kichwani ukikutana nae eneo la kazi majanga makubwa.Nakushukuru kwa maoni yako, lakini kama chuo kinatoa first class zaidi ya asilimia 70 siamini hilo neno ni pake
Mzeee hawaangalii Division 1 wanaangalia Masomo yale matatu mama(Phy,Chem na Bios) na mawili ya ziada Math na Eng score zako zilikuaje. Unaweza ukawa na kijiti ila bado umefanya vibaya hayo masomo unaachwa.Nime
Nimepata Div 1 point 14¹
Math B, Chem, A, Biology B Phy C English CMzeee hawaangalii Division 1 wanaangalia Masomo yale matatu mama(Phy,Chem na Bios) na mawili ya ziada Math na Eng score zako zilikuaje. Unaweza ukawa na kijiti ila bado umefanya vibaya hayo masomo unaachwa.
Utapata ila omba vyuo vyenye ushindani mdogo vya serikali vipo vizuri na elimu ni ile ile. Achana na vyuo vikongwe ni sifa na kujiweka kwenye risk ya ushindani lakini shule ni ile ile mkuu.Math B, Chem, A, Biology B Phy C English C
ShukraniMath B, Chem, A, Biology B Phy C English C
Unaweza kunipa mfano wa vyuo hivyo?Utapata ila omba vyuo vyenye ushindani mdogo vya serikali vipo vizuri na elimu ni ile ile. Achana na vyuo vikongwe ni sifa na kujiweka kwenye risk ya ushindani lakini shule ni ile ile mkuu.
Primary instute,Kigoma,Sumbawanga,Tabora,Songea nk cheki kwenye maombi yako kabla hujacongirm utaona idadi ya waliomba.Unaweza kunipa mfano wa vyuo hivyo?
OkayPrimary instute,Kigoma,Sumbawanga,Tabora,Songea nk cheki kwenye maombi yako kabla hujacongirm utaona idadi ya waliomba.
Tunashukuru kwa mawazo yako!Ukweli vyuo vya private vingi havina weledi mmeharibu hii kozi matokeo yenu mengi ni ya kutengeneza,mmefanya kozi za afya ni biashara ili kuvutia vijana. Watoto wanahitimu ikiwa shule hamna kabisa kichwani ukikutana nae eneo la kazi majanga makubwa.
Ninajua ninachosema mzee sibahatishi,upangaji wa matokeo hua unaanza semista ya kwanza kuwapa maksi zisizostahili (mnaita kubebana ili GPA zisome kali). Semista ya pili CAT zote munawabeba vijana wenu ikifika Nacte wale wasimamizi wa wodini wanapangwa vyema watoto wapewe maksi bwerere na pia Theory mnaongoza kwa kuiba mitihani.Tunashukuru kwa mawazo yako!
Hoja yako ni ya ujumla bila kuwa na data. Katika vyuo vya Afya, mitihani hutungwa na Wizara ya Afya. Mitihani inasimamiwa na Wizara ya Afya. Mtihani ni mmoja huo huo kwa vyuo vya Serikali hata vya Private. Mitihani inasahihishwa Dodoma na Wizara ya Afya.
Hapo huoni kuwa mtizamo wako si sahihi.
We fanya biashara yako ila kwenye ishu za elimi tunajua makando kando mengi hivi vyuo vya private yanayofanya...ndo maana leo hata wadau wanasema ukitaka GPA kubwa nenda Private kwasababu inajulikana mnavyobebana. Tunao marafiki wamesoma huko tunajua na pia tumeshuhudia sana mahospital hayo ya kubebana.Tunashukuru kwa mawazo yako!
Hoja yako ni ya ujumla bila kuwa na data. Katika vyuo vya Afya, mitihani hutungwa na Wizara ya Afya. Mitihani inasimamiwa na Wizara ya Afya. Mtihani ni mmoja huo huo kwa vyuo vya Serikali hata vya Private. Mitihani inasahihishwa Dodoma na Wizara ya Afya.
Hapo huoni kuwa mtizamo wako si sahihi.
Hakika!!!Kawaida, watu hupenda ku generalise ila akifika Mbweni atakubali kuwa si Uchwara
Unaweza kupata, tatizo competition kubwa. Ila tokeo hili si ungechapa advance tyuuh.Math B, Chem, A, Biology B Phy C English C
Nenda form five achana na hiyo course Haina Soko na pia utakwama kwenda chuo kikuu ukipitia huo mkondo wa clinical medicineMath B, Chem, A, Biology B Phy C English C
Kwa tokeo hilo, sasa anaogopa nn kwenda advance, mbona yuko vizuri.Nenda form five achana na huyo course Haina Soko na pia utakwama kwenda chuo kikuu ukipitia huo mkondo wa clinical medicine
Now hakuna njia rahisi kwenda MD vijana wanayoitaka hata huko Advance bila 1.3-1.5 kupata chuo cha serikali kipengele na kwenye Diploma nako kugumu bila GPA ya 5 kwa sasa changamoto ni yeye tu aangalie.Nenda form five achana na huyo course Haina Soko na pia utakwama kwenda chuo kikuu ukipitia huo mkondo wa clinical medicine
Hapana bhana.Advance haina umuhimu