Uchaguzi 2020 Nimebadili maamuzi, wacha watuone wajinga tu ila na mimi kesho naenda Kupiga Kura

Uchaguzi 2020 Nimebadili maamuzi, wacha watuone wajinga tu ila na mimi kesho naenda Kupiga Kura

Huku Dar es Salaam hali ya hewa ni rafiki kabisa.

Jua limechomoza kwa ustadi wa hali ya juu, hali ya hewa sio kama jana ya mvua.

Hima hima watanzania tutoke majumbani kwetu kwenda kuonesha hawa wadhalimu ni kiasi gani wametutesa kwa miaka mingi.

Usiseme unaenda kupiga kura, sema naenda kumpa LISU Urais.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeme Upo mwingi na Mimi hapa nautumia sijui wewe upo Morogoro ipi.
Halafu Umeme saa hizi unaathiri nini kwenye kutoa tiki kwa Magufuli?
Kapige kura basi.
JF inawatu smart sana, wewe hupaswi kuonyesha udhaifu kiasi hiki kwenye hii jamii. Angalia timestamp ya uzi wangu ili siku nyingine usiteleze. Mimi sijapost huu uzi asubuhi hii

Yani kweli huelewi uhusiano wa kukata umeme na hali iliyopo?
I rest my case with you.
 
Uongo hautawasaidia kitu Chadema
huu nao ni uongo...!! Mwenzangu unamtandao huko maana mimi nashindwa hata kupost biashara zangu na sijui hali hii ni hadi lini. Tena ndo unazidi kunitia hasira ngoja, ndo nakaribia kituoni. ntatoa hukumu yangu potelea pote!
 
Acheni ujinga wa kujitekenya na kucheka wenyewe. Mbona Moro umeme upo tu wala haujakata.

Mtajificha chooni wakati wa matokeo
Nimemjibu mwenzio post #23 hapo juu, kasome usiwe mvivu.
Kwa kukusaidia, hiyo post ni ya jana, na kama hukuexperience cutoff pia sio shida kwasababu post haikusema morogoro nzima. Tazama Muda uzi ulipoandikwa, utakua mjinga mpaka lini?
 
Kulingana na uhalisia wa mambo, sikuamini kama kuna hata chembe ya haki na nguvu ya kura yangu. Ila kama na wao wameogopa kiasi hiki, basi na mimi nitapiga kura, wacha iibiwe, wacha iharibiwe.

Sehemu kubwa ya Morogoro mjini umeme umezimwa tangu asubuhi. Labda kama wamerudisha dikika hizi, wanalengo gani, wanajua wenyewe.

Mitandao ya kijamii ndio kama mnavoiona.

Kama ulinotice, kuna muda simu za kawaida na msg zilikua hazitoki kabisa mchana.

ITV walikata matangazo ya Aljazeera

Star TV Wamekata matangazo ya BBC.

Inaweza kura yangu isiwe na msingi sana, lakini kama kuna watu wanaweweseka kiasi hiki, na wao ndo wanaojitamba, basi kipo wanachokihofia.

Nitapiga kura na nitaiachia nature iamue matumizi ya kura yangu. Ikienda kwa niliempigia sawa, ikiibiwa sawa, ikiharibiwa sawa.

Nafahamu kuna watu hawakupanga kupiga kura kulingana na hali iliyozoeleka. Nashauri tukapige kura, hata wasipoiruhusu kura yako iamue, wataelewa uhalisia uliopo mtaani, pengine wanaweza utumia uhalisia huo kwa kwa namna chanya.
Nenda kapige kura na uache kulalama sana maana umeme, simu, mawasiliano - TVs ni maendeleo ya vitu. Usipende maendeleo ya vitu haina maana yoyote! Hivyo vyote unavyovitaka sasa ni vitu! Eti? Nenda kapige kura, akishindwa Lissu uridhike kwamba kura yako imeibiwa!
 
Nenda kapige kura na uache kulalama sana maana umeme, simu, mawasiliano - TVs ni maendeleo ya vitu. Usipende maendeleo ya vitu haina maana yoyote! Hivyo vyote unavyovitaka sasa ni vitu! Eti? Nenda kapige kura, akishindwa Lissu uridhike kwamba kura yako imeibiwa!
Punguza jazba ndugu yangu.
Hutakiwi kukereketwa na maamuzi yangu binafsi.
 
Hongera sana kwa kubadili maamuzi yako dakika za mwisho. Ni Lissu na Devotha Minja bila shaka ndiyo machaguo yako sahihi kwa hapo Moro town.

Mimi msimamo wangu uko pale pale. Sitapiga kura hiyo kesho. Ila nawatakia uchaguzi mwema wapenda mabadiliko wote nchini.

CCM and Company Limited must go!
CCM must go halafu kura hupigi?
 
Watanzania kesho tujitokeze kwa wingi tukamuadhibu msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji
Mkuu mimi nimeshamtandika za uso huyu Traitor...na nimefarijika kuona Watanzania wazalendo walivyodhamiria kumpa Magufuli miaka mitano TENAAA.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
JF inawatu smart sana, wewe hupaswi kuonyesha udhaifu kiasi hiki kwenye hii jamii. Angalia timestamp ya uzi wangu ili siku nyingine usiteleze. Mimi sijapost huu uzi asubuhi hii

Yani kweli huelewi uhusiano wa kukata umeme na hali iliyopo?
I rest my case with you.
Ndio misukule ya 2020 hiyo. Ukiangalia kajiunga lini JF, ndio utajua kuna mfumuko wa ID mpya kwa mwaka huu 2020.
 
Nishamtoa mtu madarakani
IMG-20201028-WA0000.jpeg
 
Kulingana na uhalisia wa mambo, sikuamini kama kuna hata chembe ya haki na nguvu ya kura yangu. Ila kama na wao wameogopa kiasi hiki, basi na mimi nitapiga kura, wacha iibiwe, wacha iharibiwe.

Sehemu kubwa ya Morogoro mjini umeme umezimwa tangu asubuhi. Labda kama wamerudisha dikika hizi, wanalengo gani, wanajua wenyewe.

Mitandao ya kijamii ndio kama mnavoiona.

Kama ulinotice, kuna muda simu za kawaida na msg zilikua hazitoki kabisa mchana.

ITV walikata matangazo ya Aljazeera

Star TV Wamekata matangazo ya BBC.

Inaweza kura yangu isiwe na msingi sana, lakini kama kuna watu wanaweweseka kiasi hiki, na wao ndo wanaojitamba, basi kipo wanachokihofia.

Nitapiga kura na nitaiachia nature iamue matumizi ya kura yangu. Ikienda kwa niliempigia sawa, ikiibiwa sawa, ikiharibiwa sawa.

Nafahamu kuna watu hawakupanga kupiga kura kulingana na hali iliyozoeleka. Nashauri tukapige kura, hata wasipoiruhusu kura yako iamue, wataelewa uhalisia uliopo mtaani, pengine wanaweza utumia uhalisia huo kwa kwa namna chanya.
La kuvunda halina ubani, kaka! In other words, every dog has his day.
 
Kulingana na uhalisia wa mambo, sikuamini kama kuna hata chembe ya haki na nguvu ya kura yangu. Ila kama na wao wameogopa kiasi hiki, basi na mimi nitapiga kura, wacha iibiwe, wacha iharibiwe.

Sehemu kubwa ya Morogoro mjini umeme umezimwa tangu asubuhi. Labda kama wamerudisha dikika hizi, wanalengo gani, wanajua wenyewe.

Mitandao ya kijamii ndio kama mnavoiona.

Kama ulinotice, kuna muda simu za kawaida na msg zilikua hazitoki kabisa mchana.

ITV walikata matangazo ya Aljazeera

Star TV Wamekata matangazo ya BBC.

Inaweza kura yangu isiwe na msingi sana, lakini kama kuna watu wanaweweseka kiasi hiki, na wao ndo wanaojitamba, basi kipo wanachokihofia.

Nitapiga kura na nitaiachia nature iamue matumizi ya kura yangu. Ikienda kwa niliempigia sawa, ikiibiwa sawa, ikiharibiwa sawa.

Nafahamu kuna watu hawakupanga kupiga kura kulingana na hali iliyozoeleka. Nashauri tukapige kura, hata wasipoiruhusu kura yako iamue, wataelewa uhalisia uliopo mtaani, pengine wanaweza utumia uhalisia huo kwa kwa namna chanya.
Tuliposema magufuli hafai na wala hastahili kuendelea kuwa kiongozi wa hii nchi mlidhani labda hatumpendi ila mmejionea wenyewe.

Huyu mtu ni katili, muuaji, fedhuli na mnafiki wa kiwango cha juu kabisa kuwai kutokea.

Hujachelewa, nenda kapige kura na hamasisha watu wengi zaidi wakapige kura maana kura lazima ziwe nyingi hadi washindwe kuiba.

Ni lazima tumtoe huyu dikteta na Chama chake madarakani leo hii. Lazima tukamchague Tundu Antiphas Lissu ili Tanzania tuwe na uhuru haki na maendeleo ya watu
 
Back
Top Bottom