Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Umeandika nini mkuu au kuna shida sehemu?Tell your friends too to tell yheir friends to kama mlivyofanya 2015 na kura hazikuyosha bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika nini mkuu au kuna shida sehemu?Tell your friends too to tell yheir friends to kama mlivyofanya 2015 na kura hazikuyosha bado
JF inawatu smart sana, wewe hupaswi kuonyesha udhaifu kiasi hiki kwenye hii jamii. Angalia timestamp ya uzi wangu ili siku nyingine usiteleze. Mimi sijapost huu uzi asubuhi hiiUmeme Upo mwingi na Mimi hapa nautumia sijui wewe upo Morogoro ipi.
Halafu Umeme saa hizi unaathiri nini kwenye kutoa tiki kwa Magufuli?
Kapige kura basi.
huu nao ni uongo...!! Mwenzangu unamtandao huko maana mimi nashindwa hata kupost biashara zangu na sijui hali hii ni hadi lini. Tena ndo unazidi kunitia hasira ngoja, ndo nakaribia kituoni. ntatoa hukumu yangu potelea pote!Uongo hautawasaidia kitu Chadema
Nimemjibu mwenzio post #23 hapo juu, kasome usiwe mvivu.Acheni ujinga wa kujitekenya na kucheka wenyewe. Mbona Moro umeme upo tu wala haujakata.
Mtajificha chooni wakati wa matokeo
Nenda kapige kura na uache kulalama sana maana umeme, simu, mawasiliano - TVs ni maendeleo ya vitu. Usipende maendeleo ya vitu haina maana yoyote! Hivyo vyote unavyovitaka sasa ni vitu! Eti? Nenda kapige kura, akishindwa Lissu uridhike kwamba kura yako imeibiwa!Kulingana na uhalisia wa mambo, sikuamini kama kuna hata chembe ya haki na nguvu ya kura yangu. Ila kama na wao wameogopa kiasi hiki, basi na mimi nitapiga kura, wacha iibiwe, wacha iharibiwe.
Sehemu kubwa ya Morogoro mjini umeme umezimwa tangu asubuhi. Labda kama wamerudisha dikika hizi, wanalengo gani, wanajua wenyewe.
Mitandao ya kijamii ndio kama mnavoiona.
Kama ulinotice, kuna muda simu za kawaida na msg zilikua hazitoki kabisa mchana.
ITV walikata matangazo ya Aljazeera
Star TV Wamekata matangazo ya BBC.
Inaweza kura yangu isiwe na msingi sana, lakini kama kuna watu wanaweweseka kiasi hiki, na wao ndo wanaojitamba, basi kipo wanachokihofia.
Nitapiga kura na nitaiachia nature iamue matumizi ya kura yangu. Ikienda kwa niliempigia sawa, ikiibiwa sawa, ikiharibiwa sawa.
Nafahamu kuna watu hawakupanga kupiga kura kulingana na hali iliyozoeleka. Nashauri tukapige kura, hata wasipoiruhusu kura yako iamue, wataelewa uhalisia uliopo mtaani, pengine wanaweza utumia uhalisia huo kwa kwa namna chanya.
Punguza jazba ndugu yangu.Nenda kapige kura na uache kulalama sana maana umeme, simu, mawasiliano - TVs ni maendeleo ya vitu. Usipende maendeleo ya vitu haina maana yoyote! Hivyo vyote unavyovitaka sasa ni vitu! Eti? Nenda kapige kura, akishindwa Lissu uridhike kwamba kura yako imeibiwa!
Hawanaga akili hao.Nimemjibu mwenzio post #23 hapo juu, kasome usiwe mvivu.
Kwa kukusaidia, hiyo post ni ya jana, na kama hukuexperience cutoff pia sio shida kwasababu post haikusema morogoro nzima. Tazama Muda uzi ulipoandikwa, utakua mjinga mpaka lini?
CCM must go halafu kura hupigi?Hongera sana kwa kubadili maamuzi yako dakika za mwisho. Ni Lissu na Devotha Minja bila shaka ndiyo machaguo yako sahihi kwa hapo Moro town.
Mimi msimamo wangu uko pale pale. Sitapiga kura hiyo kesho. Ila nawatakia uchaguzi mwema wapenda mabadiliko wote nchini.
CCM and Company Limited must go!
Mkuu mimi nimeshamtandika za uso huyu Traitor...na nimefarijika kuona Watanzania wazalendo walivyodhamiria kumpa Magufuli miaka mitano TENAAA.Watanzania kesho tujitokeze kwa wingi tukamuadhibu msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji
Ndio misukule ya 2020 hiyo. Ukiangalia kajiunga lini JF, ndio utajua kuna mfumuko wa ID mpya kwa mwaka huu 2020.JF inawatu smart sana, wewe hupaswi kuonyesha udhaifu kiasi hiki kwenye hii jamii. Angalia timestamp ya uzi wangu ili siku nyingine usiteleze. Mimi sijapost huu uzi asubuhi hii
Yani kweli huelewi uhusiano wa kukata umeme na hali iliyopo?
I rest my case with you.
Safi sana mkuu.Nishamtoa mtu madarakaniView attachment 1614366
La kuvunda halina ubani, kaka! In other words, every dog has his day.Kulingana na uhalisia wa mambo, sikuamini kama kuna hata chembe ya haki na nguvu ya kura yangu. Ila kama na wao wameogopa kiasi hiki, basi na mimi nitapiga kura, wacha iibiwe, wacha iharibiwe.
Sehemu kubwa ya Morogoro mjini umeme umezimwa tangu asubuhi. Labda kama wamerudisha dikika hizi, wanalengo gani, wanajua wenyewe.
Mitandao ya kijamii ndio kama mnavoiona.
Kama ulinotice, kuna muda simu za kawaida na msg zilikua hazitoki kabisa mchana.
ITV walikata matangazo ya Aljazeera
Star TV Wamekata matangazo ya BBC.
Inaweza kura yangu isiwe na msingi sana, lakini kama kuna watu wanaweweseka kiasi hiki, na wao ndo wanaojitamba, basi kipo wanachokihofia.
Nitapiga kura na nitaiachia nature iamue matumizi ya kura yangu. Ikienda kwa niliempigia sawa, ikiibiwa sawa, ikiharibiwa sawa.
Nafahamu kuna watu hawakupanga kupiga kura kulingana na hali iliyozoeleka. Nashauri tukapige kura, hata wasipoiruhusu kura yako iamue, wataelewa uhalisia uliopo mtaani, pengine wanaweza utumia uhalisia huo kwa kwa namna chanya.
Chakula ya wakubwa lumumbaWatanzania kesho tujitokeze kwa wingi tukamuadhibu msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji
Ni chakula ya wakubwa Lumumba, hanaga kazi nyingineWewe jamaa kama pepo baya kila uzi upo.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Ni chakula ya wakubwa Lumumba, hanaga kazi nyingine
Tuliposema magufuli hafai na wala hastahili kuendelea kuwa kiongozi wa hii nchi mlidhani labda hatumpendi ila mmejionea wenyewe.Kulingana na uhalisia wa mambo, sikuamini kama kuna hata chembe ya haki na nguvu ya kura yangu. Ila kama na wao wameogopa kiasi hiki, basi na mimi nitapiga kura, wacha iibiwe, wacha iharibiwe.
Sehemu kubwa ya Morogoro mjini umeme umezimwa tangu asubuhi. Labda kama wamerudisha dikika hizi, wanalengo gani, wanajua wenyewe.
Mitandao ya kijamii ndio kama mnavoiona.
Kama ulinotice, kuna muda simu za kawaida na msg zilikua hazitoki kabisa mchana.
ITV walikata matangazo ya Aljazeera
Star TV Wamekata matangazo ya BBC.
Inaweza kura yangu isiwe na msingi sana, lakini kama kuna watu wanaweweseka kiasi hiki, na wao ndo wanaojitamba, basi kipo wanachokihofia.
Nitapiga kura na nitaiachia nature iamue matumizi ya kura yangu. Ikienda kwa niliempigia sawa, ikiibiwa sawa, ikiharibiwa sawa.
Nafahamu kuna watu hawakupanga kupiga kura kulingana na hali iliyozoeleka. Nashauri tukapige kura, hata wasipoiruhusu kura yako iamue, wataelewa uhalisia uliopo mtaani, pengine wanaweza utumia uhalisia huo kwa kwa namna chanya.
Yako ipo mkianiAkili yako inaishia hapo.