wakushanga
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 552
- 92
Nimemalizana na ssm kiaina. potelea pote.hata mimi naenda sikuwa na mpango wakwenda lakisasa nakwenda sikubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemalizana na ssm kiaina. potelea pote.hata mimi naenda sikuwa na mpango wakwenda lakisasa nakwenda sikubali
Huyo ni Pole pole bila shakaWewe jamaa kama pepo baya kila uzi upo.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Nimeshamalizana na ccm kiaina. potelea pote...huu nao ni uongo...!! Mwenzangu unamtandao huko maana mimi nashindwa hata kupost biashara zangu na sijui hali hii ni hadi lini. Tena ndo unazidi kunitia hasira ngoja, ndo nakaribia kituoni. ntatoa hukumu yangu potelea pote!
Tunamwaga na moto, na kumwagia maji mkaa ili wasipike tena....mkawaambie wajifunze ukimwaga mboga (na sisi tunabakuli la ugali) na sisi tunamwaga ugali.