W wakushanga JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 552 Reaction score 92 Oct 28, 2020 #61 wakushanga said: hata mimi naenda sikuwa na mpango wakwenda lakisasa nakwenda sikubali Click to expand... Nimemalizana na ssm kiaina. potelea pote.
wakushanga said: hata mimi naenda sikuwa na mpango wakwenda lakisasa nakwenda sikubali Click to expand... Nimemalizana na ssm kiaina. potelea pote.
BARDIZBAH JF-Expert Member Joined Jan 11, 2017 Posts 5,259 Reaction score 10,078 Oct 28, 2020 #62 tozi25 said: Wewe jamaa kama pepo baya kila uzi upo. Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089] Click to expand... Huyo ni Pole pole bila shaka Sent using Jamii Forums mobile app
tozi25 said: Wewe jamaa kama pepo baya kila uzi upo. Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089] Click to expand... Huyo ni Pole pole bila shaka Sent using Jamii Forums mobile app
W wakushanga JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 552 Reaction score 92 Oct 28, 2020 #63 wakushanga said: huu nao ni uongo...!! Mwenzangu unamtandao huko maana mimi nashindwa hata kupost biashara zangu na sijui hali hii ni hadi lini. Tena ndo unazidi kunitia hasira ngoja, ndo nakaribia kituoni. ntatoa hukumu yangu potelea pote! Click to expand... Nimeshamalizana na ccm kiaina. potelea pote...
wakushanga said: huu nao ni uongo...!! Mwenzangu unamtandao huko maana mimi nashindwa hata kupost biashara zangu na sijui hali hii ni hadi lini. Tena ndo unazidi kunitia hasira ngoja, ndo nakaribia kituoni. ntatoa hukumu yangu potelea pote! Click to expand... Nimeshamalizana na ccm kiaina. potelea pote...
W wakushanga JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 552 Reaction score 92 Oct 28, 2020 #64 ...mkawaambie wajifunze ukimwaga mboga (na sisi tunabakuli la ugali) na sisi tunamwaga ugali.
Brian Spilner JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 1,915 Reaction score 5,750 Oct 28, 2020 Thread starter #65 wakushanga said: ...mkawaambie wajifunze ukimwaga mboga (na sisi tunabakuli la ugali) na sisi tunamwaga ugali. Click to expand... Tunamwaga na moto, na kumwagia maji mkaa ili wasipike tena.
wakushanga said: ...mkawaambie wajifunze ukimwaga mboga (na sisi tunabakuli la ugali) na sisi tunamwaga ugali. Click to expand... Tunamwaga na moto, na kumwagia maji mkaa ili wasipike tena.