Nimebahatika kupata mtoto muda mfupi baada ya Mechi ya Qatar dhidi ya Ecuador kumalizika. Je, nimpe jina gani?

Hongera mkuu. Mshirikishe na mama tuone anasemaje.
 
Sisi waafrika tu ndio tumeathirika na hiyo kasumba dunia nzima, eti mtu hapa Tanzania utakuta anaitwa Rashidi Abdallah, John Isaac, Fatuma Selemani au Mary Joseph yaani hakuna watu wa hovyo kama waafrika na majina yetu ya asili eti hatupendi kuyatumia na hakuna mtu wa bara yoyote nje ya Afrika anayeweza kutumia majina yetu ya asili. Thubutu.
 
Mkuu, mpe jina la Mamaako Mzazi! Hautajutia baraka lukuki utakazozipata, wewe na mtoto, kutoka kwa Mola!
 

ULIFANYA MAPENZI MWEZI WA PILI BOB
 
Muite Samiarina ama sysyumeriano ama chawa jr tu

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Accidentally
 
Mm mchepuko wangu amejifungua siku yanga wanamlabua singida big star 4kwa 1

Nikampa jina la fisto mayele namugari
Subiri MAYELE ahamie kwa wana SeMBe ndipo utakapolifurahia vizuri hilo jina.
 
Chagua yafuatayo

1--kombe la dunia
2--Qatar

au ecuado yatamfaa mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…