uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
We mzee hupunguzagi ukali wa maneno🥸
Ukweli wa maneno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mzee hupunguzagi ukali wa maneno🥸
Ye mwenyewe anakiri wazi kwa kusema kwa kitambo kidogo anakuacha, ila kwa Rehema nyingi atakukusanya..Uko sawa mkuu.. Sometimes tunamwamini lakini anatuvunja moyo
Wahi hospitali ya vichaa mirembeHabari za jumapili members wa jamiiforums.
Asilimia ya kumwamini Mungu imebaki moja tu.
ndo kaikataa pepo moto unamuhusu...😂
Tena mwambie kazidiwa na hata tumaini la kufikia hapo akijua hata kuwa nalo kabisa.Mind you,Mungu hana hizi standards ni wewe unataka kuziweka!
Wapo wasiomkiri Mungu na wana mafanikio mara 1,000 kukuzidi.
so ndugu yetu nae kaamua amuache kwa kitambo kidogo!, hii inaitwa jino kwa jino..🤣Ye mwenyewe anakiri wazi kwa kusema kwa kitambo kidogo anakuacha, ila kwa Rehema nyingi atakukusanya..
Hakuna moto wewendo kaikataa pepo moto unamuhusu...😂
kuna nini baby..?Hakuna moto wewe
Anakuacha upigike kidogo kabla akupe kichekoso ndugu yetu nae kaamua amuache kwa kitambo kidogo!, hii inaitwa jino kwa jino..🤣
Huyu baba wa mbinguni mnayesema anatupenda na ni mwingi wa huruma aje kubadilika kutuchoma moto. Doesn"t make sense to mekuna nini baby..?
So na jamaa yetu nayeye kaamua amuache sir God apigike kidogo halafu baadae aje ampe kicheko..😅Anakuacha upigike kidogo kabla akupe kicheko
Hizi ni fix za wazi kabisa, inakupasa uwe kondoo ili kuamini haya.Huyu baba wa mbinguni mnayesema anatupenda na ni mwingi wa huruma aje kubadilika kutuchoma moto. Doesn"t make sense to me
Baby nawe umekuwa wa hivi kweli mbona hili pana sana mchumba..?🤣Huyu baba wa mbinguni mnayesema anatupenda na ni mwingi wa huruma aje kubadilika kutuchoma moto. Doesn"t make sense to me
Shauri lakoBaby nawe umekuwa wa hivi kweli mbona hili pana sana mchumba..?🤣
Kama haumuamini Mungu pia inamaanisha kuwa hauamini kuwa Shetani yupo.Na 99% kumuamini shetani
Ama kweli shauri yangu kama Mungu tu umemuacha mimi je, itakuwaje na hivi ninavyokupenda hiyo siku si nitalia nakusaga meno huku nikioga vumbi!, binadamu hamuaminiki nyinyi..🤣Shauri lako
Anakuchoma moto sababu ya kuishi nje ya amri alizotoa kwenye neno lake/ Biblia..Huyu baba wa mbinguni mnayesema anatupenda na ni mwingi wa huruma aje kubadilika kutuchoma moto. Doesn"t make sense to me