Nimebisha sana leo; ni kweli kuna Madaktari mtaani hawana kazi?

Nimebisha sana leo; ni kweli kuna Madaktari mtaani hawana kazi?

kikoozi

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2015
Posts
2,094
Reaction score
3,108
Kuna mtu nilikuwa nabisha nae sana leo, mimi ni muhitimu wa level ya degree kwenye coz zetu hizi ambazo kila chuo ukienda zipo, ila MEDICAL DOCTOR Kiukweli kabisa kutoka moyoni siamini kama kweli kuna mtu amemaliza hiyo course hana ajira, labda mnisaidie wenzangu wa JF.
 
Kuna kipindi fulani nadhani mwaka juzi, sikumbuki vizuri serikalini nadhani ni jeshini walitanganza ajira ya udactali Kimbembe ilikuja kwenye interview wadau walimiminika wengii na sikutarajia. So brother, wadau wenye degree zao za kila aina wapo kitaa kibao.

Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu nilikuwa nabisha nae sana leo, mimi ni muhitimu wa level ya degree kwenye coz zetu hizi ambazo kila chuo ukienda zipo, ila MEDICAL DOCTOR Kiukweli kabisa kutoka moyoni siamini kama kweli kuna mtu amemaliza hiyo course hana ajira, labda mnisaidie wenzangu wa JF.
Labda kama daktari wa majipu na kutoa funza
 
Ajira ni tatizo kubwa sana, limechangiwa na kukosekana kwa uwiano wa matumizi ya fedha za serikali lakini pia kuuliwa kwa sekta binafsi, Serikali awamu hii inafanya kila kitu, anaajiri kwa uchache sana tena inaajiri pale ambapo Mkuu anafurahi na sio kuangalia mahitaji ya Serikali lakini pia tatizo la ajira kwa vijana
 
Back
Top Bottom