Nimebisha sana leo; ni kweli kuna Madaktari mtaani hawana kazi?

Nimebisha sana leo; ni kweli kuna Madaktari mtaani hawana kazi?

Kuna mtu nilikuwa nabisha nae sana leo, mimi ni muhitimu wa level ya degree kwenye coz zetu hizi ambazo kila chuo ukienda zipo, ila MEDICAL DOCTOR Kiukweli kabisa kutoka moyoni siamini kama kweli kuna mtu amemaliza hiyo course hana ajira, labda mnisaidie wenzangu wa JF.
Kama ni MD ,inategemea kazi una maanisha ya aina gani..lakin kwa hapa mjini MD hawez kukosa kijiwe cha kusukuma maisha tena maisha ya kawaida kabisa
 
Kuna mtu nilikuwa nabisha nae sana leo, mimi ni muhitimu wa level ya degree kwenye coz zetu hizi ambazo kila chuo ukienda zipo, ila MEDICAL DOCTOR Kiukweli kabisa kutoka moyoni siamini kama kweli kuna mtu amemaliza hiyo course hana ajira, labda mnisaidie wenzangu wa JF.
Dukuduku lako ni zuri sana japo watu wanachukulia kirahisi. Mtaani (hospital) madaktari hawatoshi na sehemu nyingi hazina huduma lakini inakuwaje wengine wanakosa kazi? Jibu ni: vipaumbele vya serikali ni vya hovyo. Ukienda wilayani, wilaya moja ina wateuli wa rais wengi wa kiasiasa wanaotumia gharama kubwa za kuwepo. eg mkuu wa wilaya, sijui makatibu tawala, wakurugenzi etc. Hawa wote wangeondolewa wakabakia viongozi wachache na pia wingi wa wabunge ukapunguzwa tukabakiwa na wabunge kama 100 - 150, na wizarani huko viongozi wakapunguzwa zingeoka fedha nyingi sana ambazo zingetumika kuajira madaktari.
 
Madaktari wa Binadamu-MD waliosoma Vyuo vikuu 5 yrs na mwaka mmoja wa internship wapo zaidi ya 2500 ambao hawana kazi,Sekta binafsi ilikuwa inasaidia sana ila imenyauka miaka hii.( MD wanafanya kazi ya Kutibu binadamu,kufanya research ,na pia kufundisha para medical schools )
 
Wasomi wengi wanapokua wapigaji tunatengeneza matapeli viwango vya kimataifa

Tutauona moto rasmi baada ya miaka miwil, mbele hapa mbona bado sana
 
Niliwahi kusikia Daktari mmoja amejiajiri kama DJ 😂 baada ya kukosa kazi
Madaktari wengi tangu 2015 hawajaajiriwa. Wengi kama hawako nyumbani, wamejishkiza kwenye vituo uchwara vya Afya huku wengine wakipunguza ugumu wa maisha kwa internships. Nenda Aga Khan tu hapo uone wanavyosulubika!!!

Mwaka jana wakati wa mkutano wa MATI kulikuwa na madaktari ( MD ) mtaani 2,700 Magu akaropoka kuajiri 1,000 na mpaka leo hajaajiri tena na kuna ongezeko tena.

In short, kuna upungufu mkubwa sana wa watumishi lakini Magu haoni uhitaji wala umuhimu.

Imagine mwaka 2017 wakati anazindua Mloganzila aliambiwa kuna upungufu wa watumishi wa Afya 90,000 yeye alitoa vibali vya ajira elfu 2 tu.

Yaani Magu ni bora achote pesa awahonge kina Mwita Waitara, wabunge wa upinzani na chaguzi ndogo ( kila chaguzi ndogo moja inakula 300M ). Uchaguzi mkuu hakuchukua pesa za UNDP ili akwepe waangalizi wa kimataifa.

Leo kavuruga uchaguzi mkuu halafu analazimisha wabunge wa upinzani kuwemo bungeni hata kwa kuvunja katiba. Na kwa hao wabunge 19 watazoa kama 19B.

Kwahiyo utaona akili ya Magu ilivyo, siyo kwamba pesa hakuna. Ila anachota pesa na kufanyia mambo yake ya kijuha kweli.
 
Madaktari wengi tangu 2015 hawajaajiriwa. Wengi kama hawako nyumbani, wamejishkiza kwenye vituo uchwara vya Afya huku wengine wakipunguza ugumu wa maisha kwa internships. Nenda Aga Khan tu hapo uone wanavyosulubika!!!

Mwaka jana wakati wa mkutano wa MATI kulikuwa na madaktari ( MD ) mtaani 2,700 Magu akaropoka kuajiri 1,000 na mpaka leo hajaajiri tena na kuna ongezeko tena.

In short, kuna upungufu mkubwa sana wa watumishi lakini Magu haoni uhitaji wala umuhimu.

Imagine mwaka 2017 wakati anazindua Mloganzila aliambiwa kuna upungufu wa watumishi wa Afya 90,000 yeye alitoa vibali vya ajira elfu 2 tu.

Yaani Magu ni bora achote pesa awahonge kina Mwita Waitara, wabunge wa upinzani na chaguzi ndogo ( kila chaguzi ndogo moja inakula 300M ). Uchaguzi mkuu hakuchukua pesa za UNDP ili akwepe waangalizi wa kimataifa.

Leo kavuruga uchaguzi mkuu halafu analazimisha wabunge wa upinzani kuwemo bungeni hata kwa kuvunja katiba. Na kwa hao wabunge 19 watazoa kama 19B.

Kwahiyo utaona akili ya Magu ilivyo, siyo kwamba pesa hakuna. Ila anachota pesa na kufanyia mambo yake ya kijuha kweli.
Ndio maana kale kamalaya kalisema bungeni kutamu anaweza ua mtu 😁 kumbe wako kimkakati
 
Wenye udaktari wa kupewa baada ya kuandika hadithi za paukwa pakawa kama Dr Jiwe wamejaa bungeni na kwenye nafasi za uteuzi[emoji12][emoji12][emoji12]
Madaktari wa vimbora kama Dr manyaunyau bado wanasota kimya kimya maana mtaani pagumu sana wateja hatuna hela za kupiga ramli [emoji85][emoji85][emoji85]

Madaktari wa kweli yaani tabibu wapo wengi mtaani tunakula nao Dawa za Kiarusha[emoji12][emoji12][emoji12]mwingine juzi alikuja ofisini kwetu anaomba japo kazi ya ulinzi *****[emoji23][emoji23]huyo amekaa miaka 5-7 chuo Leo anaomba kuwa mlinzi.

Mabeberu wanatuonea wivu sana nasema uongo ndugu zangu[emoji860][emoji860][emoji860][emoji860][emoji860] wanawashwa washwa sana.
Baada ya hii mitano kutakuwa na ma MD wengi ambao ni wachoma mahindi mtaani!
 
Wengi kichizi wako mtaani wana mbwela mbwela ila sio wengi kama zoa zoa sijui HR, procurement sijui Marketing sijui Accounting
 
Back
Top Bottom