Nimebisha sana leo; ni kweli kuna Madaktari mtaani hawana kazi?

Nimebisha sana leo; ni kweli kuna Madaktari mtaani hawana kazi?

Muongo sana huyo dada.
Yani anadhani anaongea na Darasa la saba sijui.. madoctor wamejaa mtaani wanazurura hata kujitolea walipwe chochote nafasi wamekosaa. Serikali ingekuwa haitumii Intern Doctors bhasi ajira zingekuwepo ila uwepo wa intern unawapa sana kiburi sio kwa kada ya Udaktari ni kada zote yanii..

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
"Kazi" na "ajira" ni dhana mbili tofauti ingawa zinahusiana.

Unaweza kuwa na kazi usiwe na ajira. Unaweza pia kuwa na ajira lakini usiwe na "kazi".
 
wapo kwenye vidinspesary vidogo mtaani wanakunywa sana pombe za bei rais hawaamini kinachotokea ukisikia mtu anasomea udokta unamuheshim kumbe tabu
 
Hao wote ni Clinical Officers sio Doctors
Mkuu huku kijijin Sojo Nzega hatulijui hilo kwenye vi zahanat vyetu tunawaita madokta hata kana wana level certificate tu.Natunawanyenyekea mnoo
 
Mwambie mwanao asomee udoctor alafu ndo utajua hujui..
 
Wapo wengi tu, umeahau jiwe aliwambia wale waliopo huko nchi za watu Warud wawape kazi Alaf wakawatelekeza?
 
Nimesomea udaktari mwaka wa pili sasa sina kazi

Unajua kinachowafanya baadhi ya watu wasiamini ni umuhimu wa hawa watu Na desturi ilivyokuwa. Lakin mbele ya jiwe? Hakuna sehem aliona ya muhimu kabisa. Doctar kukosa kazi ni aibu sana kama taifa.
 
Kuna mtu nilikuwa nabisha nae sana leo, mimi ni muhitimu wa level ya degree kwenye coz zetu hizi ambazo kila chuo ukienda zipo, ila MEDICAL DOCTOR Kiukweli kabisa kutoka moyoni siamini kama kweli kuna mtu amemaliza hiyo course hana ajira, labda mnisaidie wenzangu wa JF.
Wapo wengi tena wengine wanajitolea
 
Nurses na Doctors degree level wapo wengi tu mtaani hawana ajira now days hakuna ajira za mojakwamoja serikalin kama zaman japo bado kunauhitaji mkubwa sana wa hao watu sema tu kipaumbele cha serikali sio kuajir Muhimbili hosp yenyewe inazalisha Doctors na Nurses lakin wanashortage kubwa mpaka wapate kibali cha kuajir
 
Mzee alikuwa busy kukifanya kijiji kiwe jiji. Zamani hizo post yako hii ungeanza kufuatiliwa kuwa wewe si mzalendo.
Acha tu yaani,, ndo maana mbeya walichoma mbuzi wakaenda kulia barabarani na wakishushia komoni.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kuna kipindi fulani nadhani mwaka juzi, sikumbuki vizuri serikalini nadhani ni jeshini walitanganza ajira ya udactali Kimbembe ilikuja kwenye interview wadau walimiminika wengii na sikutarajia. So brother, wadau wenye degree zao za kila aina wapo kitaa kibao.

Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
Naikumbuka hii. Walikuwa wengi sana. Nafikiri usahili ulifanyika somewhere Pwani. 2018 ilikuwa.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Yes,last year ofisi yetu tulitangaza kazi za MD zaidi ya 50plus hatukupata ikabidi tujazie na hao wenye Diploma .Hata hao MD tuliowapata almost nusu wameshaacha kazi.Ni kwenye project ya USAID yenye mshahara mzuri tu na mikataba wa 5years kufanya kazi kwenye vituo vya afya ikiwa ni pamoja ya kusimami uratibu wa mradi kwenye wilaya zaidi ya 45 nchini (Hatukuweza kupata MD)
ULIKUWA MRADI GANI? NA MLIKUWA MNALUOA SH NGAPI?
 
Back
Top Bottom