Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Afya hazijaimarika sema tu wamekua wagumu kuajiriDuhh dokta huna kazi?
Masihara haya....
Ok ukiona dokta hana kazi ujue afya zawatanzania zimeimarika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afya hazijaimarika sema tu wamekua wagumu kuajiriDuhh dokta huna kazi?
Masihara haya....
Ok ukiona dokta hana kazi ujue afya zawatanzania zimeimarika.
Sijui mtu mweusi anashida gani......hapo ataishia kulaumu mabeberuDukuduku lako ni zuri sana japo watu wanachukulia kirahisi. Mtaani (hospital) madaktari hawatoshi na sehemu nyingi hazina huduma lakini inakuwaje wengine wanakosa kazi? Jibu ni: vipaumbele vya serikali ni vya hovyo. Ukienda wilayani, wilaya moja ina wateuli wa rais wengi wa kiasiasa wanaotumia gharama kubwa za kuwepo. eg mkuu wa wilaya, sijui makatibu tawala, wakurugenzi etc. Hawa wote wangeondolewa wakabakia viongozi wachache na pia wingi wa wabunge ukapunguzwa tukabakiwa na wabunge kama 100 - 150, na wizarani huko viongozi wakapunguzwa zingeoka fedha nyingi sana ambazo zingetumika kuajira madaktari.
Una uhakika?MD hawako mtaani ila hawa waliosoka Diploma za clinical medicine sihui wako wengi tu
Unamkufuru mungu,walio street nap hawajapendaMimi bado siamin,MD kabisa akose kabisa,labda kama kaamua.
wachache Sana watakuelewa mkuu...,😔Hili neno "sina kazi" lisikie tu kwa mtu
wewe bado haujapata tu?, Scientist, nliona uzi wako!wachache Sana watakuelewa mkuu...,[emoji17]
Pole sana ndugu usichoke kuombaNimesomea udaktari mwaka wa pili sasa sina kazi
Saivi nishawaachia ajira yao nakomaa na private sectorPole sana ndugu usichoke kuomba
Mwisho alijichekesha pasipochekesha ili ichukuliwe kuwa ni utani. Wanawake wabunge walio nyuma take wakaangaliana kwa mshangao.Ndio maana kale kamalaya kalisema bungeni kutamu anaweza ua mtu 😁 kumbe wako kimkakati
MD wapo kibao mtaani , kuna wengine wanaamua kuomba kujitolea lakini pia nafasi zinakuwa hazipo(Volunteer)Mimi bado siamin,MD kabisa akose kabisa,labda kama kaamua.
Hatari sana.. hahahahaaaa.. umeita familia nzima ya mzee Kotomboloo
Nina rafiki zangu wawili tena wamesoma Cuba na hata vijiwe hawana!niku PM uwasaidie??Kama ni MD ,inategemea kazi una maanisha ya aina gani..lakin kwa hapa mjini MD hawez kukosa kijiwe cha kusukuma maisha tena maisha ya kawaida kabisa
Yes,last year ofisi yetu tulitangaza kazi za MD zaidi ya 50plus hatukupata ikabidi tujazie na hao wenye Diploma .Hata hao MD tuliowapata almost nusu wameshaacha kazi.Ni kwenye project ya USAID yenye mshahara mzuri tu na mikataba wa 5years kufanya kazi kwenye vituo vya afya ikiwa ni pamoja ya kusimami uratibu wa mradi kwenye wilaya zaidi ya 45 nchini (Hatukuweza kupata MD)Una uhakika?
Not kuajiri ni kujiajiri....Afya hazijaimarika sema tu wamekua wagumu kuajiri
Bado wanahitajika tena?Yes,last year ofisi yetu tulitangaza kazi za MD zaidi ya 50plus hatukupata ikabidi tujazie na hao wenye Diploma .Hata hao MD tuliowapata almost nusu wameshaacha kazi.Ni kwenye project ya USAID yenye mshahara mzuri tu na mikataba wa 5years kufanya kazi kwenye vituo vya afya ikiwa ni pamoja ya kusimami uratibu wa mradi kwenye wilaya zaidi ya 45 nchini (Hatukuweza kupata MD)