Nimebisha sana leo; ni kweli kuna Madaktari mtaani hawana kazi?

Unajua kinachowafanya baadhi ya watu wasiamini ni umuhimu wa hawa watu Na desturi ilivyokuwa. Lakin mbele ya jiwe? Hakuna sehem aliona ya muhimu kabisa. Doctar kukosa kazi ni aibu sana kama taifa.
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…