Nimebubujikwa na machozi ya Furaha baada ya kumuona Rais Samia kwa Macho Yangu

Alafu unakuta huyu jamaa, ana mke na watoto kadhaaa, wanamuona mtu wa maana,, kumbe ni mlamba visigino huku,,, ili apate teuzi…🥺
 
Alafu unakuta huyu jamaa, ana mke na watoto kadhaaa, wanamuona mtu wa maana,, kumbe ni mlamba visigino huku,,, ili apate teuzi…🥺
Leo ni siku mbaya sana kwenu Ninyi wajinga jinga na wapiga Ramli
 
Mbona hajaonyeshwa kwenye taarifa ya habari?
 
Mkuu "Lucas" mtoa mada kwanza kabsaa ninaamin unamapenzi ya dhati kwa mhe. raisi.Ila kusema kwelu una roho ngumu saana maana pamoja na spanner hizo unazokazwa lkn utadhan hunaga nafsi ya kujtafakari.Anyway:-
1. unajifunza nin kwa coments za watz wenzako!?
2.Je unadhan unampenda mhe raisi kuliko wao (wanaokukosoa)?
3.Je huwa unamwombea huko sirini kwako au unaishiaga kutusimulia humu jukwaani!?
4.Unawachukuliaje watu wanakinzana na hisia zako!?.
5.Unadhani ni ipi standard halisi ya kumpenda Mhe raisi na taifa kwa ujumla?je,nukuwa kama wewe uonavyo/ufanyavyo wew?
 
hata elimu ya shule ya msingi nina mashaka hukupata maarifa kabisa ulitoka patupu wewe, msingi ukiwa mbovu watu wengi hugeuka mbu mbu mbu! 😀 ....Hayo yote uliyoyazungumza waambie na nduguzo katika ukoo wako wote ili wajue unachokinena mitandaoni wakusikitikie😛😛
 
Huyu Lucas Mwashambwa hana habari kwamba Wakandarasi wamefilisika, TANROADS na TARURA hakuna hela!
Viongozi wanatafuna pesa kwa ziara zisizokuwa na vichwa Wala miguu!
Mambo ambayo mwamba Hayati Magufuli walipiga marufuku ndiyo yamekausha hazina!
Mtaani fedha hakuna , bei za bidhaa ziko juu! Ndani ya muda mfupi sana nauli za mabasi zime double!
Mfano ,Dar - Musoma sasa ni elfu 95 kutoka elfu 45 toka Mama amechukua usukani.
Halafu Mwashambwa anabubujikwa machozi, kwanza kububujikwa machozi ni tabia ya kike!
 
Fanya kazi upate pesa na siyo kufanya kazi ya kupiga umbeya na porojo kwa majirani halafu unakuja hapa kusema pesa hakuna.sasa unataka pesa zitoke wapi wakati wewe ni livivu na limbeya tu.
 
Umewahi kusoma habari za Galileo?
 
Vipi
Mkuu una ka video hapo utuwekee tumwone mama yetu kipenzi akichapa kazi?
 
Wata
Watanzania wote hawajamwona leo isipokuwa wewe mtoto wa mbwa ndo umemwona, kwanini unaidharau sana Taasisi ya Urais wewe mbwa?
Rais akiwa kwenye function yoyote ile Taifa lote humwona kupitia vyombo vya Habari,leo wewe mbwa umemwona peke yako,shenz sana wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…